Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Fasta tu mazaga yanakuwa tayari, then natoa kitu siku inaisha.Tupo sawa me nikiwa maskani ..huwa napenda kujipikia mwenyewe Kama wife hayupo ....Wala binti wa kazi ..me na Jembe langu hao jikoni ..kibao Cha chapati Kiko wapi Ni mwendo wa kukata Tuu.
Anyway mtoa mada kanikumbusha wacha ninunue leo.