Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
- Thread starter
- #101
alipoingia kigwangala na rungu lake ndo ikagundulika wengi wao walijipachika tu uo udokta na uprofesa🤣Dr.Ndulu na Dr Ndodi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alipoingia kigwangala na rungu lake ndo ikagundulika wengi wao walijipachika tu uo udokta na uprofesa🤣Dr.Ndulu na Dr Ndodi
duh kama ni kweli basi huyu jamaa alikuwa mbele sana ya wakati maana hata mm ndo nasoma apa kama jamaa hakuwa na chembe ya uganga maana jamaa alikuwa smart sana kimavazi suti black mda wote na afro lake amechana safi na hata matangazo yake yalikuwa yamenyooka sana na anapost gazetini kila leo daah kumbe alikuwa chenga tupu🙆♂️🙆♂️.Huyo profesa Matunge alikuwa 'jiniaz' kuweza kucheza na akili za watu maisha yake yote mpaka kufa!
Je kuna mtu anayefahamu kuwa alikuwa hajasoma na alikuwa siyo mganga?
mkongwe kumbe naww uliwemo kwenye tasnia☺️☺️☺️Matunge Herbalist clinic Mwananyama.. Nimehudumu Sana pale miaka ilee😀😀😀
sasa apa kavaa suti kitambi hakionekani vizuri 🤣🤣pata picha aliyochomekea shatiJaman kama hii list isingemtaja Isaac ndodi mimi ningejiuzulu, huyu bwana nlikuwa namwita Dr haleluya, kipindi anaaza, alikuwa anasema ukimkuta mtu ana kitambi piga viboko vya kutosha, alikuwa kakondeana hana hela alivyopata hela kanenepa kawa wa duara ukimuuliza imekuwaje unakula matusi....nimeweka picha ya wakati anaweza career yake na kusema tupigwe viboko na alivyo sasa 😂😂😂. Nlikuwa nkikaa star tv kwa kipindi chake nacheka sana....
iyo ndo ilikuwa mikwara yao🤣eti yupo kwa wiki hii tu baada ya hapo humpati tena atakuwa mkoa mwingine🤣watakaowahi kuna bei ya punguzoMatunge alikuwa anatangaza nimefikia Guest Fulani maeneo ya Forest ya Zamani Mbeya kama una shida wahi mapema
Huyu alikuwa archwizardDr manyau nyau vipi haingii hapo?😅😅
Hawa jamaa: ezekiel na kajura sijui waliishia wapi. Namkumbuka sana kajura, alikuwa na ofisi kwenye hotel moja maeneo ya mnazi mmoja au kisutuHuyu alikuwa mtabiri wa nyota. Sambamba na akina Philip Kajura
ngoko = ngokaNgoko 11 mmnaikumbuka hii? Ilipata airtime sana