Je unawakumbuka herbalist maarufu wa kitambo hicho?

Je unawakumbuka herbalist maarufu wa kitambo hicho?

Asilimia 99 ya hao uliowataja ni Matapeli.


Watanzania wanapigwa sana na matapeli.
Wanapigwa kila kona.


MAsikini Tanzania yangu
Vyombo vya habari vilichangia pakubwa kwa kuwapromote.
Mtu akishaona sdwa zinatangazwa redioni au kwenye tv ataamini tu wakati mtu anashida.
 
Jaman kama hii list isingemtaja Isaac ndodi mimi ningejiuzulu, huyu bwana nlikuwa namwita Dr haleluya, kipindi anaaza, alikuwa anasema ukimkuta mtu ana kitambi piga viboko vya kutosha, alikuwa kakondeana hana hela alivyopata hela kanenepa kawa wa duara ukimuuliza imekuwaje unakula matusi....nimeweka picha ya wakati anaweza career yake na kusema tupigwe viboko na alivyo sasa 😂😂😂. Nlikuwa nkikaa star tv kwa kipindi chake nacheka sana....
kumbe ulikuwa wembamba wa njaa. njaa mbaya sana aisee 🤣🤣🤣
 
Mimi nimewakumbuka hawa

- Profesa Matunge r.i.p

- Hawa Nyamichwo r.i.p

- Ng'winzukulu Jilala r.i.p

- Profesa Majimarefu r.i.p

- Dr. Rahabu Lubago

- Dr. Isaac Ndodi
Hivi kwa wazoefu na wafuatiliaji wa hizi mambo nina swali kwenu.
Je hawa watu ni kweli dawa zao huwa zinatibu kiuhakika au ni wajanjawajanja tu wa mjini?
 
Hivi kwa wazoefu na wafuatiliaji wa hizi mambo nina swali kwenu.
Je hawa watu ni kweli dawa zao huwa zinatibu kiuhakika au ni wajanjawajanja tu wa mjini?
dawa OG zinazotibu zipo na za kubumba za matapeli zipo. inategemea wewe umekutana na nani. ila hawa wa mijini wengi wapigaji. wengi wenye dawa OG hawajitangazi na wengi wapo vijijini ndanindani uko.
 
dawa OG zinazotibu zipo na za kubumba za matapeli zipo. inategemea wewe umekutana na nani. ila hawa wa mijini wengi wapigaji. wengi wenye dawa OG hawajitangazi na wengi wapo vijijini ndanindani uko.
Hapo sawa nakubaliana na wewe hata mimi mawazo yangu yalikuwa hivyo.
Maana hata ukicheki bei zao ni za kipigaji,dozi moja unauziwa laki 7 kama ni kweli zinatibu kwa nini asiuze elfu 50 baadae watu watangaziane apate wateja wengi zaidi
 
Kama unakumbuka majina haya yote bila shaka wewe ni mshirikina kwa Sasa au umeokoka
haahaa haiko ivo kiongozi. ukiwa mfatiliaji wa mambo yanavoenda kwenye jamii yako auwezi kukosa kufaham vitu vidogo kama ivi hasa kwa watu kama hawa ambao wengi walikuwa wanajitangaza wenyewe kiuwazi tu.
 
kumbe ulikuwa wembamba wa njaa. njaa mbaya sana aisee 🤣🤣🤣
Njaa mbaya mkuu si umeona alivyo sasa, nimeona kuna mtu anawaambia watu huko kwenye mitandao kwamba unaona njaa unayosikia wakati wa kufunga ? Hiyo njaa ndio kuna watu hayo ndio maisha yao daily.
 
hlf biti zao sasa utasikia nimefikia gesti flani kwa siku 5 tu na bei ni ya promosheni
 
Hii nchi ina hela sana[emoji38] ni wewe tu utavyoamua upige hela kwa style gani.To be honest b mkubwa wangu alipigwa sana na ndodi yaan kila tukimwelekeza b.mkubwa haelewi[emoji1787]
 
Kanuni ni ile ile popote utapoenda kuwa makini na mtu mwenye maneno mengi.

Mimi ukianza tu story nyingi kengele ya hatari huwa inalia kichwani kwangu naanza kuongeza umakini.
mkuu autaki toa kibunda🤣
 
Back
Top Bottom