Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigwangala huyu huyu?..🤣🤣_kigwangala herbal clinic Tabora enzi izo Redio ya Adeni Rage VOICE OF TABORA FM (V.O.T)
nilipitaga hapo mkoa wa Tabora nikawa nasikia KIGWANGALA HERBAL CLINIC🌿
_Jamaa alikua anajinasibu kutibu hadi ukimwi kwa mitishamba yake ni daje vuu
Chief utakua na umri mkubwa na economically vyema.Huyo Matunge Herbalist kuna mwaka nilienda kwenye ofisi yake maeneo ya Kijitonyama kama sijakosea! Nilipewa dawa feki tu kama ilivyokuwa kwa yule Mwaka wa Ilala Bungoni! Yaani ilikuwa ni wizi tu.
Hapana majina yamefanana TU sio kigwa wa Simba ""mzee wa nje ya box""Kigwangala huyu huyu?..🤣🤣
Alikua anapiga SintaNg'winzukulu Jilala, huyu alichukua floor nzima kwenye ghorofa moja pale Kariakoo
Ukitoka Kinyerezi kuelekea Mbezi,.. hapo katikati Kuna kituo Cha Daladala kinaitwa kwa Dr. Ndodi..😄😄😄😄... Nadhani anaishi mitaa Ile....Ndodi sijui alifia wapi maana aliiteka tza kwa kuwauzia watu juice za michicha na matembele
Dah, mkuu huyo matunge msukuma hata mimi alinipiga. Ofisi yake ilikuwa pale moroko, suti kubwaa na afro lake alinipa vidonge feki kwa buku 40 miaka ya 96s.Huyo Matunge Herbalist kuna mwaka nilienda kwenye ofisi yake maeneo ya Kijitonyama kama sijakosea! Nilipewa dawa feki tu kama ilivyokuwa kwa yule Mwaka wa Ilala Bungoni! Yaani ilikuwa ni wizi tu.
🤣🤣🤣Sawa mkuu... Nilijua ni Kigwa huyu mbunge wa Nzega...Hapana majina yamefanana TU sio kigwa wa Simba ""mzee wa nje ya box""
Alikuwa na vipindi hadi redioni vya dawa zake.Nilimkuta Bi Mkubwa ana tenga zima la malimao ndani!
Kuuliza vipi umeanza biashara ya genge?
Najibiwa,"Kwani humfuatilii Dr Isack Ndodi".
Gazeti la Mfanyakazi halikukosa matangazo yakeDuuh!! Kweli ww ni mhenga. Prof Vulata yule mwenye sharafa nyingi mashavuni😀
Hawa jamaa Mungu anawaona aisee!!!Ndodi sijui alifia wapi maana aliiteka tza kwa kuwauzia watu juice za michicha na matembele
Matunge Herbalist clinic Mwananyama.. Nimehudumu Sana pale miaka ilee😀😀😀Mimi nimewakumbuka hawa
- Profesa Matunge r.i.p
- Hawa Nyamichwo r.i.p
- Ng'winzukulu Jilala r.i.p
- Profesa Majimarefu r.i.p
- Dr. Rahabu Lubago
- Dr. Isaac Ndodi
Mkuu Mzizimkavu tupo naye humu kitambo sana japo naona kama amepunguza sana activity zake humuBila kumsahau Herbalist Dr MziziMkavu
Alimuoa Nora pia wa Kaole,ila huenda alipita kwa Sinta pia ,maana alikuwa mfadhili wa kundi lao la kaoleAlikua anapiga Sinta
uko na kumbukumbu nzuri mkuuProfessor Vulata