Je unawakumbuka herbalist maarufu wa kitambo hicho?

Je unawakumbuka herbalist maarufu wa kitambo hicho?

Huyo Matunge Herbalist kuna mwaka nilienda kwenye ofisi yake maeneo ya Kijitonyama kama sijakosea! Nilipewa dawa feki tu kama ilivyokuwa kwa yule Mwaka wa Ilala Bungoni! Yaani ilikuwa ni wizi tu.
Chief utakua na umri mkubwa na economically vyema.

Matunge yupo Kijitonyama wayback kabla hajahama na kwenda Msisiri hapo bado mi young
 
Tunafanya kama masihara hapa, lakini ukweli dunia ni chungu sana. Hakuna anayependa kutapeliwa, na amini hata wewe unaweza kwenda kupigwa siku moja!

Ukiwa na lako limekuganda liwe gonjwa au nini, utakuwa radhi kufanya chochote likutoke!
Mshukuru Mungu kila siku kwa kukupa uzima!
 
Huyo Matunge Herbalist kuna mwaka nilienda kwenye ofisi yake maeneo ya Kijitonyama kama sijakosea! Nilipewa dawa feki tu kama ilivyokuwa kwa yule Mwaka wa Ilala Bungoni! Yaani ilikuwa ni wizi tu.
Dah, mkuu huyo matunge msukuma hata mimi alinipiga. Ofisi yake ilikuwa pale moroko, suti kubwaa na afro lake alinipa vidonge feki kwa buku 40 miaka ya 96s.
 
Ndodi sijui alifia wapi maana aliiteka tza kwa kuwauzia watu juice za michicha na matembele
Hawa jamaa Mungu anawaona aisee!!!

Mimi Dr Mwaka yule wa Bungoni Ilala alininywesha Sifongo kama siyo Siki miezi mitatu continuously bila kupumzika yaani mpaka nikawa natoka jasho chungu lakini hata nafuu sikuwahi kuiona,na 180K yangu akabeba.
 
Back
Top Bottom