Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Bado gharama za kumhudumia mgombea wenu wa urais wakati akipitisha bakuli lake kuomba hela za saccos yao.Wakati wa JK tulikaa kwenye folen tukiwa na hela mfukoni.
Wakati huu tunapita juu hapo Ubungo tukiwa na mawazo ya kesho nakula nini.
Mshahara ule ule gharama zimepanda mara Mia.