Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Nimeamua kuandika mada kutokana na tatizo la mmoja wetu hapa JF kule kwenye mada ya pombe na wanywaji/walevi.
Huyo ndugu yetu ana tatizo na ulevi, hana control na kila akilewa hufanya mambo ya ajabu ambayo mengine huhatarisha maisha yake na uharibifu wa mali na usumbufu kwa wengine.
Pamoja na kwamba wengi wetu wanapinga uwepo wa uchawi na ushirikina lakini haya mambo yapo katika maisha yetu ya kila siku...lakini wakati huohuo kukiwa na upotoshaji mwingi pia kwenye dhana nzima ya uchawi ama ushirikina na waathirika wake.
Iko hivi uchawi pamoja na kwamba kwa sehemu kubwa sana ni kuharibu lakini kamwe hautumii njia ya starehe kuharibu...yaani
Huwezi kurogewa ngono
Huwezi kurogewa sigara
Huwezi kurogewa pombe
Huwezi kurogewa starehe ya aina yoyote hata kama matokeo ya mwisho yatakuwa na madhara
Viasili vya starehe huathiriwa na napepo. Kumbuka mapepo ni roho zinazotangatanga ambazo miili yake ilishakufa.
Kuna mapepo ya ngono, haya hutokanna kwa sehemu kubwa na uchafu wa kingono kuaparamia hovyo, yaani kuwa chovyachovya ama chovywa chovywa.
Mapepo ya vilevi mbalimbali kunenewa vibaya na wazazi, mabibi mababu kwa baadhi, hawa hutoa maonyo ya mara nyingi na maonyo yanapogonga mwamba hunena mabaya.
Hapa pia ishu ya laana huhusika yaani unalaaniwa pombe,sigara ngono nknk.
Inawezekana kabisa ulifanya kosa kubwa lililowaudhi wazazi na wao bila tafakuri ya kina huamua kulaani
Kuna watu wamelaaniwa pombe, hawa hata iweje hawakosi pesa ya kunywa
Kuna watu wamelaaniwa ngono hawa walibaka wazazi ama wazazi wa wazazi wake
Ni mara chache mno kukuta mtu karogewa chanzo cha starehe kwakuwa uchawi msingi wake ni kuharibu na kuleta maumivu tangu mwanzo mpaka mwisho..na si starehe kwanza kisha maumivu baadae.
kanuga upooo!
Huyo ndugu yetu ana tatizo na ulevi, hana control na kila akilewa hufanya mambo ya ajabu ambayo mengine huhatarisha maisha yake na uharibifu wa mali na usumbufu kwa wengine.
Pamoja na kwamba wengi wetu wanapinga uwepo wa uchawi na ushirikina lakini haya mambo yapo katika maisha yetu ya kila siku...lakini wakati huohuo kukiwa na upotoshaji mwingi pia kwenye dhana nzima ya uchawi ama ushirikina na waathirika wake.
Iko hivi uchawi pamoja na kwamba kwa sehemu kubwa sana ni kuharibu lakini kamwe hautumii njia ya starehe kuharibu...yaani
Huwezi kurogewa ngono
Huwezi kurogewa sigara
Huwezi kurogewa pombe
Huwezi kurogewa starehe ya aina yoyote hata kama matokeo ya mwisho yatakuwa na madhara
Viasili vya starehe huathiriwa na napepo. Kumbuka mapepo ni roho zinazotangatanga ambazo miili yake ilishakufa.
Kuna mapepo ya ngono, haya hutokanna kwa sehemu kubwa na uchafu wa kingono kuaparamia hovyo, yaani kuwa chovyachovya ama chovywa chovywa.
Mapepo ya vilevi mbalimbali kunenewa vibaya na wazazi, mabibi mababu kwa baadhi, hawa hutoa maonyo ya mara nyingi na maonyo yanapogonga mwamba hunena mabaya.
Hapa pia ishu ya laana huhusika yaani unalaaniwa pombe,sigara ngono nknk.
Inawezekana kabisa ulifanya kosa kubwa lililowaudhi wazazi na wao bila tafakuri ya kina huamua kulaani
Kuna watu wamelaaniwa pombe, hawa hata iweje hawakosi pesa ya kunywa
Kuna watu wamelaaniwa ngono hawa walibaka wazazi ama wazazi wa wazazi wake
Ni mara chache mno kukuta mtu karogewa chanzo cha starehe kwakuwa uchawi msingi wake ni kuharibu na kuleta maumivu tangu mwanzo mpaka mwisho..na si starehe kwanza kisha maumivu baadae.
kanuga upooo!