Je, unaweza kurogewa viwakilishi vya starehe?

Je, unaweza kurogewa viwakilishi vya starehe?

Nimeamua kuandika mada kutokana na tatizo la mmoja wetu hapa JF kule kwenye mada ya pombe na wanywaji/walevi.

Huyo ndugu yetu ana tatizo na ulevi, hana control na kila akilewa hufanya mambo ya ajabu ambayo mengine huhatarisha maisha yake na uharibifu wa mali na usumbufu kwa wengine.

Pamoja na kwamba wengi wetu wanapinga uwepo wa uchawi na ushirikina lakini haya mambo yapo katika maisha yetu ya kila siku...lakini wakati huohuo kukiwa na upotoshaji mwingi pia kwenye dhana nzima ya uchawi ama ushirikina na waathirika wake.

Iko hivi uchawi pamoja na kwamba kwa sehemu kubwa sana ni kuharibu lakini kamwe hautumii njia ya starehe kuharibu...yaani

Huwezi kurogewa ngono
Huwezi kurogewa sigara
Huwezi kurogewa pombe
Huwezi kurogewa starehe ya aina yoyote hata kama matokeo ya mwishi yatakuwa na madhara

Viasili vya starehe huathiriwa na napepo. Kumbuka mapepo ni roho zinazotangatanga ambazo miili yake ilishakufa.
Kuna mapepo ya ngono, haya hutokanna kwa sehemu kubwa na uchafu wa kingono kuaparamia hovyo, yaani kuwa chovyachovya ama chovywa chovywa.

Mapepo ya vilevi mbalimbali kunenewa vibaya na wazazi, mabibi mababu kwa baadhi, hawa hutoa maonyo ya mara nyingi na maonyo yanapogonga mwamba hunena mabaya.

Hapa pia ishu ya laana huhusika yaani unalaaniwa pombe,sigara ngono nknk.

Inawezekana kabisa ulifanya kosa kubwa lililowaudhi wazazi na wao bila tafakuri ya kina huamua kulaani

Kuna watu wamelaaniwa pombe, hawa hata iweje hawakosi pesa ya kunywa

Kuna watu wamelaaniwa ngono hawa walibaka wazazi ama wazazi wa wazazi wake

Ni mara chache mno kukuta mtu karogewa chanzo cha starehe kwakuwa uchawi msingi wake ni kuharibu na kuleta maumivu tangu mwanzo mpaka mwisho..na si starehe kwanza kisha maumivu baadae.

kanuga upooo!
Tafakari yangu ktk hili huwezi logewe pombe, sigara, ngono nk sababu hiz tayari ni njia zinazomridhisha na ahadi yake ni kuwapotosha watu wasimtegemee mola wao mlezi hivyo lzima utolewe kwenye haki uingie kwenye ubatili
 
Nimeamua kuandika mada kutokana na tatizo la mmoja wetu hapa JF kule kwenye mada ya pombe na wanywaji/walevi.

Huyo ndugu yetu ana tatizo na ulevi, hana control na kila akilewa hufanya mambo ya ajabu ambayo mengine huhatarisha maisha yake na uharibifu wa mali na usumbufu kwa wengine.

Pamoja na kwamba wengi wetu wanapinga uwepo wa uchawi na ushirikina lakini haya mambo yapo katika maisha yetu ya kila siku...lakini wakati huohuo kukiwa na upotoshaji mwingi pia kwenye dhana nzima ya uchawi ama ushirikina na waathirika wake.

Iko hivi uchawi pamoja na kwamba kwa sehemu kubwa sana ni kuharibu lakini kamwe hautumii njia ya starehe kuharibu...yaani

Huwezi kurogewa ngono
Huwezi kurogewa sigara
Huwezi kurogewa pombe
Huwezi kurogewa starehe ya aina yoyote hata kama matokeo ya mwishi yatakuwa na madhara

Viasili vya starehe huathiriwa na napepo. Kumbuka mapepo ni roho zinazotangatanga ambazo miili yake ilishakufa.
Kuna mapepo ya ngono, haya hutokanna kwa sehemu kubwa na uchafu wa kingono kuaparamia hovyo, yaani kuwa chovyachovya ama chovywa chovywa.

Mapepo ya vilevi mbalimbali kunenewa vibaya na wazazi, mabibi mababu kwa baadhi, hawa hutoa maonyo ya mara nyingi na maonyo yanapogonga mwamba hunena mabaya.

Hapa pia ishu ya laana huhusika yaani unalaaniwa pombe,sigara ngono nknk.

Inawezekana kabisa ulifanya kosa kubwa lililowaudhi wazazi na wao bila tafakuri ya kina huamua kulaani

Kuna watu wamelaaniwa pombe, hawa hata iweje hawakosi pesa ya kunywa

Kuna watu wamelaaniwa ngono hawa walibaka wazazi ama wazazi wa wazazi wake

Ni mara chache mno kukuta mtu karogewa chanzo cha starehe kwakuwa uchawi msingi wake ni kuharibu na kuleta maumivu tangu mwanzo mpaka mwisho..na si starehe kwanza kisha maumivu baadae.

kanuga upooo!
Bado kuna shida hapa. Ni vigumu kujaji kama unavyofanya hapo. Si unaona huyo jamaa ulevi umekuwa shida sasa? Kwahiyo, kama mwenyewe usemavyo, uchawi husababisha maumivu, si hayo sasa, au? Hata mwizi, yupo ambae anaibaaaa, anakula maishaaaa kisha matatizo yanaanza. Utasemaje kesi kama hii? Hata ngono, utapiga wake wa watuuuuu, siku unanasa, mnaenda kuchomolewa kwa mganga.

Hapa sina lolote nijualo kuhusu uchawi. Sema ninajibu kwa kutumia mantiki kulingana na ulichoandika
 
Tupo wengi mtani tuna tatizo la kunywa kupitia kiasi,kuhsribu mali na aibu za kila namba.Mimi nalewa sana ila matokeo ni mabaya sana,Nina miaka 54 Sasa hvi ila starehe yangu kubwa ni pombe halafu wanawake.
Mshana simu ambanzo nishspoteza na ndugu na mke wangu kuniuliza simu Iko wapi ni 9 Hizo sijauza Wala kugawa,Napata taabu sana,!!!???
Pole ndu,. Bola wewe Mimi nina miaka 35 nimeshakutana namat
ukio makubwa makubwa kwenye ulevu,. Izosimu nimesha poteza sio chini yakumi, aupo pekeyako kiongozi tupo wengi
 
Tafakari yangu ktk hili huwezi logewe pombe, sigara, ngono nk sababu hiz tayari ni njia zinazomridhisha na ahadi yake ni kuwapotosha watu wasimtegemee mola wao mlezi hivyo lzima utolewe kwenye haki uingie kwenye ubatili
Sahihi kabisa [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Bado kuna shida hapa. Ni vigumu kujaji kama unavyofanya hapo. Si unaona huyo jamaa ulevi umekuwa shida sasa? Kwahiyo, kama mwenyewe usemavyo, uchawi husababisha maumivu, si hayo sasa, au? Hata mwizi, yupo ambae anaibaaaa, anakula maishaaaa kisha matatizo yanaanza. Utasemaje kesi kama hii? Hata ngono, utapiga wake wa watuuuuu, siku unanasa, mnaenda kuchomolewa kwa mganga.

Hapa sina lolote nijualo kuhusu uchawi. Sema ninajibu kwa kutumia mantiki kulingana na ulichoandika
OK sawa!
 
Pombe sigara ngono! Ni vitu vinavyo mkwamisha sana mtu yoyote anaejinasibisha navyo.

Bahati mbaya kidogo mtu yoyote anaye anza kutumia vitu hivyo mara nyingi sana kuviacha kwa wakati mmoja ni changamoto sana.

Bahati mbaya nyingine hivi vinaushika kiasi cha kwamba ukitumia kimoja lazima kikielekeze kutumia l
Kingine!

Kwa wenye imani ya kidini imekua njia rahisi kwa mwathirika kuweza kuacha.
 
Back
Top Bottom