Je, unaweza kurogewa viwakilishi vya starehe?

Je, unaweza kurogewa viwakilishi vya starehe?

Kuna nguvu za giza na kuna uchawi....uchawi ni kasehemu kadogo tu ndani ya nguvu za giza...nguvu za giza zipo nyingi hata hizo starehe ukiona zinakupelekesha jua ni nguvu za giza...lengo ni moja tu: kuiba, kuharibu eventually kuua!!
 
Kuna nguvu za giza na kuna uchawi....uchawi ni kasehemu kadogo tu ndani ya nguvu za giza...nguvu za giza zipo nyingi hata hizo starehe ukiona zinakupelekesha jua ni nguvu za giza...lengo ni moja tu: kuiba, kuharibu eventually kuua!!
Kweli mkuuu...Kwenda kinyume na maadili sio poa
 
Kuna nguvu za giza na kuna uchawi....uchawi ni kasehemu kadogo tu ndani ya nguvu za giza...nguvu za giza zipo nyingi hata hizo starehe ukiona zinakupelekesha jua ni nguvu za giza...lengo ni moja tu: kuiba, kuharibu eventually kuua!!

Asante sana kwa ufafanuzi mzuri
 
Nimeamua kuandika mada kutokana na tatizo la mmoja wetu hapa JF kule kwenye mada ya pombe na wanywaji/walevi.

Huyo ndugu yetu ana tatizo na ulevi, hana control na kila akilewa hufanya mambo ya ajabu ambayo mengine huhatarisha maisha yake na uharibifu wa mali na usumbufu kwa wengine.

Pamoja na kwamba wengi wetu wanapinga uwepo wa uchawi na ushirikina lakini haya mambo yapo katika maisha yetu ya kila siku...lakini wakati huohuo kukiwa na upotoshaji mwingi pia kwenye dhana nzima ya uchawi ama ushirikina na waathirika wake.

Iko hivi uchawi pamoja na kwamba kwa sehemu kubwa sana ni kuharibu lakini kamwe hautumii njia ya starehe kuharibu...yaani

Huwezi kurogewa ngono
Huwezi kurogewa sigara
Huwezi kurogewa pombe
Huwezi kurogewa starehe ya aina yoyote hata kama matokeo ya mwishi yatakuwa na madhara

Viasili vya starehe huathiriwa na napepo. Kumbuka mapepo ni roho zinazotangatanga ambazo miili yake ilishakufa.
Kuna mapepo ya ngono, haya hutokanna kwa sehemu kubwa na uchafu wa kingono kuaparamia hovyo, yaani kuwa chovyachovya ama chovywa chovywa.

Mapepo ya vilevi mbalimbali kunenewa vibaya na wazazi, mabibi mababu kwa baadhi, hawa hutoa maonyo ya mara nyingi na maonyo yanapogonga mwamba hunena mabaya.

Hapa pia ishu ya laana huhusika yaani unalaaniwa pombe,sigara ngono nknk.

Inawezekana kabisa ulifanya kosa kubwa lililowaudhi wazazi na wao bila tafakuri ya kina huamua kulaani

Kuna watu wamelaaniwa pombe ..hawa hata iweje hawakosi pesa ya kunywa

Kuna watu wamelaaniwa ngono hawa walibaka wazazi ama wazazi wa wazazi wake

Ni mara chache mno kukuta mtu karogewa chanzo cha starehe kwakuwa uchawi msingi wake ni kuharibu na kuleta maumivu tangu mwanzo mpaka mwisho..na si starehe kwanza kisha maumivu baadae.

kanuga upooo!
Khaaaaa, kumbe Mshana Jr si mchawi kweli....mbona wenzako wanaroga sana kupitia starehe ulizozitaja hapo juu? Jiongeze bwana, rudi Mombasa.
 
 
 
 
Tupo wengi mtani tuna tatizo la kunywa kupitia kiasi,kuhsribu mali na aibu za kila namba.Mimi nalewa sana ila matokeo ni mabaya sana,Nina miaka 54 Sasa hvi ila starehe yangu kubwa ni pombe halafu wanawake.
Mshana simu ambanzo nishspoteza na ndugu na mke wangu kuniuliza simu Iko wapi ni 9 Hizo sijauza Wala kugawa,Napata taabu sana,!!!???
 
Tupo wengi mtani tuna tatizo la kunywa kupitia kiasi,kuhsribu mali na aibu za kila namba.Mimi nalewa sana ila matokeo ni mabaya sana,Nina miaka 54 Sasa hvi ila starehe yangu kubwa ni pombe halafu wanawake.
Mshana simu ambanzo nishspoteza na ndugu na mke wangu kuniuliza simu Iko wapi ni 9 Hizo sijauza Wala kugawa,Napata taabu sana,!!!???
Wewe sio ulozi ni umenenewa vibaya na ndugu wa karibu au wazazi, au pengine ni laana ya ukoo na mambo ya kurithi majina
 
Uchawi una viwango ama madaraja...madaraja ya juu ama viwango vya juu wanaroga ili kupata zaidi ama kulinda walichonacho
Madaraja ya kati wanaroga ili wasiibiwe wapenzi ama wapate kazi na vitu vingine vya kawaida kabisa
Madaraja ama viwango vya chini wanarogana ili kuumizana kutokana na wivu wa kimaskini, roho mbaya,roho ya kwanini husuda na kijicho

Yale maisha anayoishi tajiri yako hivyohivyo mpaka kwenye mambo ya kiroho na giza pia
Na yale maisha anayoishi maskini yako hivyo hivyo mpaka kwenye ishu za kichawi
Lunch ya tajiri si chini ya elfu 20...lunch ya fukara ni buku 2
Kwa hiyo hapa mkuu umemaanisha uchawi wa kimaskini au wa mtu wa kati hauna nguvu ya kumuathiri tajiri?

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom