Je, unaweza kurogewa viwakilishi vya starehe?

Je, unaweza kurogewa viwakilishi vya starehe?

Sasa mkuu Tunawezaje kupambana na haya mapepo? Kwa mfano pepo la pombe , Ngono na kadhalika?


Na je, Mtu anaweza kulogwa akawa na matumizi mabaya ya pesa? Yaani kila ukipata pesa haikai hata kidogo? Au hilo nalo ni pepo au ni Ukosefu wa nidhamu tu?

Mshana Jr
 
Sasa mkuu Tunawezaje kupambana na haya mapepo? Kwa mfano pepo la pombe , Ngono na kadhalika?


Na je, Mtu anaweza kulogwa akawa na matumizi mabaya ya pesa? Yaani kila ukipata pesa haikai hata kidogo? Au hilo nalo ni pepo au ni Ukosefu wa nidhamu tu?

Mshana Jr
Nitakurejea
 
Sasa mkuu Tunawezaje kupambana na haya mapepo? Kwa mfano pepo la pombe , Ngono na kadhalika?


Na je, Mtu anaweza kulogwa akawa na matumizi mabaya ya pesa? Yaani kila ukipata pesa haikai hata kidogo? Au hilo nalo ni pepo au ni Ukosefu wa nidhamu tu?

Mshana Jr
Changamoto kubwa ipo kweny kujua chanzo ama asili ya tatizo.. Ni muhimu sana kufahamu msingi wa tatizo na baada ya hapo ndio unaweza sasa kuelekezwa namna ya kutatua
Wengi tunafeli kwakuwa hatutibu chanzo bali matokeo ...na wengi wanadhani matatizo yanafanana hivyo nikitumia njia fulani mwingine naye anadhani akitumia njia hiyo atafanikiwa
.
Pata chanzo ama asili ya tatizo mengine yote ni mepesi
 
Nimeamua kuandika mada kutokana na tatizo la mmoja wetu hapa JF kule kwenye mada ya pombe na wanywaji/walevi.

Huyo ndugu yetu ana tatizo na ulevi, hana control na kila akilewa hufanya mambo ya ajabu ambayo mengine huhatarisha maisha yake na uharibifu wa mali na usumbufu kwa wengine.

Pamoja na kwamba wengi wetu wanapinga uwepo wa uchawi na ushirikina lakini haya mambo yapo katika maisha yetu ya kila siku...lakini wakati huohuo kukiwa na upotoshaji mwingi pia kwenye dhana nzima ya uchawi ama ushirikina na waathirika wake.

Iko hivi uchawi pamoja na kwamba kwa sehemu kubwa sana ni kuharibu lakini kamwe hautumii njia ya starehe kuharibu...yaani

Huwezi kurogewa ngono
Huwezi kurogewa sigara
Huwezi kurogewa pombe
Huwezi kurogewa starehe ya aina yoyote hata kama matokeo ya mwishi yatakuwa na madhara

Viasili vya starehe huathiriwa na napepo. Kumbuka mapepo ni roho zinazotangatanga ambazo miili yake ilishakufa.
Kuna mapepo ya ngono, haya hutokanna kwa sehemu kubwa na uchafu wa kingono kuaparamia hovyo, yaani kuwa chovyachovya ama chovywa chovywa.

Mapepo ya vilevi mbalimbali kunenewa vibaya na wazazi, mabibi mababu kwa baadhi, hawa hutoa maonyo ya mara nyingi na maonyo yanapogonga mwamba hunena mabaya.

Hapa pia ishu ya laana huhusika yaani unalaaniwa pombe,sigara ngono nknk.

Inawezekana kabisa ulifanya kosa kubwa lililowaudhi wazazi na wao bila tafakuri ya kina huamua kulaani

Kuna watu wamelaaniwa pombe ..hawa hata iweje hawakosi pesa ya kunywa

Kuna watu wamelaaniwa ngono hawa walibaka wazazi ama wazazi wa wazazi wake

Ni mara chache mno kukuta mtu karogewa chanzo cha starehe kwakuwa uchawi msingi wake ni kuharibu na kuleta maumivu tangu mwanzo mpaka mwisho..na si starehe kwanza kisha maumivu baadae.

kanuga upooo!
Nina bro alifukuzwa shule akiwa form 3 kwa sababu ya pombe. Kila akipata hela inaishia kwenye pombe then akilewa atafanya matukio kama kuiba , ashakaa jela mara kadhaa ila akitoka mwendo ni uleule , dingi kazunguka nae sehemu nyingi adi amekata tamaa, sehemu nyingi wanaambiwa karushiwa pepo ila hamna dawa aliyotumia akapona Mshana Jr
 
Nina bro alifukuzwa shule akiwa form 3 kwa sababu ya pombe. Kila akipata hela inaishia kwenye pombe then akilewa atafanya matukio kama kuiba , ashakaa jela mara kadhaa ila akitoka mwendo ni uleule , dingi kazunguka nae sehemu nyingi adi amekata tamaa, sehemu nyingi wanaambiwa karushiwa pepo ila hamna dawa aliyotumia akapona Mshana Jr
Msafisheni kwanza kwa kutumia chumvi ya mabonge kisha mengine ndio yatafuta
 
Nimeamua kuandika mada kutokana na tatizo la mmoja wetu hapa JF kule kwenye mada ya pombe na wanywaji/walevi.

Huyo ndugu yetu ana tatizo na ulevi, hana control na kila akilewa hufanya mambo ya ajabu ambayo mengine huhatarisha maisha yake na uharibifu wa mali na usumbufu kwa wengine.

Pamoja na kwamba wengi wetu wanapinga uwepo wa uchawi na ushirikina lakini haya mambo yapo katika maisha yetu ya kila siku...lakini wakati huohuo kukiwa na upotoshaji mwingi pia kwenye dhana nzima ya uchawi ama ushirikina na waathirika wake.

Iko hivi uchawi pamoja na kwamba kwa sehemu kubwa sana ni kuharibu lakini kamwe hautumii njia ya starehe kuharibu...yaani

Huwezi kurogewa ngono
Huwezi kurogewa sigara
Huwezi kurogewa pombe
Huwezi kurogewa starehe ya aina yoyote hata kama matokeo ya mwishi yatakuwa na madhara

Viasili vya starehe huathiriwa na napepo. Kumbuka mapepo ni roho zinazotangatanga ambazo miili yake ilishakufa.
Kuna mapepo ya ngono, haya hutokanna kwa sehemu kubwa na uchafu wa kingono kuaparamia hovyo, yaani kuwa chovyachovya ama chovywa chovywa.

Mapepo ya vilevi mbalimbali kunenewa vibaya na wazazi, mabibi mababu kwa baadhi, hawa hutoa maonyo ya mara nyingi na maonyo yanapogonga mwamba hunena mabaya.

Hapa pia ishu ya laana huhusika yaani unalaaniwa pombe,sigara ngono nknk.

Inawezekana kabisa ulifanya kosa kubwa lililowaudhi wazazi na wao bila tafakuri ya kina huamua kulaani

Kuna watu wamelaaniwa pombe ..hawa hata iweje hawakosi pesa ya kunywa

Kuna watu wamelaaniwa ngono hawa walibaka wazazi ama wazazi wa wazazi wake

Ni mara chache mno kukuta mtu karogewa chanzo cha starehe kwakuwa uchawi msingi wake ni kuharibu na kuleta maumivu tangu mwanzo mpaka mwisho..na si starehe kwanza kisha maumivu baadae.

kanuga upooo!
Nimepata shida kidogo kusoma hii 'chovywa chovywa',nikajaribu kusoma hata kwa sauti pia naona imekuwa ngumu,ingawa nimekuelewa mkuu....
 
Hapo uliposema, "Ni muhimu kujua chanzo cha tatizo." Nimekuelewa vizuri sana mkuu Mshana Jr ,watu wengi tumezoea kuhukumu mtu, jambo au kitu kwasababu za nje tu pasipokutafuta source yake. Kila jambo unaloliona kwenye ulimwengu huu wa mwili halipo kwà bahati mbaya, lazima lina chanzo au sababu zake. Tulio wengi ni vipofu wa rohoni hivyo hatuna uelewa wowote wa mambo ya kiroho.
Ombi langu kwà wadau wa elimu hizi hasa kwà wakuu akina Mshana Jr Pascal Mayalla Rakims MziziMkavu na wengineo wenye uelewa wa mambo haya ya kiroho, wawe wanakazia Sana kwenye mada hizi ili na wengine ambao bado wachanga kiroho tupate kujifunza. Kwani elimu hizi ni adimu Sana huwezi kukuta popote wanafundisha hovyo, na hata wakitokea watu wakufundisha huwa wanashambiliwa Sana kwani wanaharibu biashara za watu. Hao wanaowashambulia na kuwakatisha tamaa waalimu wa hizi elimu wakihofia kuumbuliwa mambo yao.
 
Hapo uliposema, "Ni muhimu kujua chanzo cha tatizo." Nimekuelewa vizuri sana mkuu Mshana Jr ,watu wengi tumezoea kuhukumu mtu, jambo au kitu kwasababu za nje tu pasipokutafuta source yake. Kila jambo unaloliona kwenye ulimwengu huu wa mwili halipo kwà bahati mbaya, lazima lina chanzo au sababu zake. Tulio wengi ni vipofu wa rohoni hivyo hatuna uelewa wowote wa mambo ya kiroho.
Ombi langu kwà wadau wa elimu hizi hasa kwà wakuu akina Mshana Jr Pascal Mayalla Rakims MziziMkavu na wengineo wenye uelewa wa mambo haya ya kiroho, wawe wanakazia Sana kwenye mada hizi ili na wengine ambao bado wachanga kiroho tupate kujifunza. Kwani elimu hizi ni adimu Sana huwezi kukuta popote wanafundisha hovyo, na hata wakitokea watu wakufundisha huwa wanashambiliwa Sana kwani wanaharibu biashara za watu. Hao wanaowashambulia na kuwakatisha tamaa waalimu wa hizi elimu wakihofia kuumbuliwa mambo yao.
Tulio wengi ni vipofu rohoni hivyo hatuna uelewa wowote wa mambo ya kiroho.[emoji1752][emoji1752][emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Nimeamua kuandika mada kutokana na tatizo la mmoja wetu hapa JF kule kwenye mada ya pombe na wanywaji/walevi.

Huyo ndugu yetu ana tatizo na ulevi, hana control na kila akilewa hufanya mambo ya ajabu ambayo mengine huhatarisha maisha yake na uharibifu wa mali na usumbufu kwa wengine.

Pamoja na kwamba wengi wetu wanapinga uwepo wa uchawi na ushirikina lakini haya mambo yapo katika maisha yetu ya kila siku...lakini wakati huohuo kukiwa na upotoshaji mwingi pia kwenye dhana nzima ya uchawi ama ushirikina na waathirika wake.

Iko hivi uchawi pamoja na kwamba kwa sehemu kubwa sana ni kuharibu lakini kamwe hautumii njia ya starehe kuharibu...yaani

Huwezi kurogewa ngono
Huwezi kurogewa sigara
Huwezi kurogewa pombe
Huwezi kurogewa starehe ya aina yoyote hata kama matokeo ya mwishi yatakuwa na madhara

Viasili vya starehe huathiriwa na napepo. Kumbuka mapepo ni roho zinazotangatanga ambazo miili yake ilishakufa.
Kuna mapepo ya ngono, haya hutokanna kwa sehemu kubwa na uchafu wa kingono kuaparamia hovyo, yaani kuwa chovyachovya ama chovywa chovywa.

Mapepo ya vilevi mbalimbali kunenewa vibaya na wazazi, mabibi mababu kwa baadhi, hawa hutoa maonyo ya mara nyingi na maonyo yanapogonga mwamba hunena mabaya.

Hapa pia ishu ya laana huhusika yaani unalaaniwa pombe,sigara ngono nknk.

Inawezekana kabisa ulifanya kosa kubwa lililowaudhi wazazi na wao bila tafakuri ya kina huamua kulaani

Kuna watu wamelaaniwa pombe ..hawa hata iweje hawakosi pesa ya kunywa

Kuna watu wamelaaniwa ngono hawa walibaka wazazi ama wazazi wa wazazi wake

Ni mara chache mno kukuta mtu karogewa chanzo cha starehe kwakuwa uchawi msingi wake ni kuharibu na kuleta maumivu tangu mwanzo mpaka mwisho..na si starehe kwanza kisha maumivu baadae.

kanuga upooo!
Ninakubaliana na wewe unavyo sema kam mchawi anataka kukuroga anakuroga kw amaradhi ambayo yanatibika hospitali kw amfano maradhi ya kifua kikuu na maradhi mengine ukienda hospitali kutibiwa lakini huwezi kupona na lengo lake mchawi akutese kimaradhi . Na pepo mchafu anakuingia katika zile starehe unazozipenda kwamfano ukipenda wanawake sanautampata pepo wa wanawake ,ukipenda pombe sana utampata pepo aka shetani wa pombe na kadhalika.
 
Ninakubaliana na wewe unavyo sema kam mchawi anataka kukuroga anakuroga kw amaradhi ambayo yanatibika hospitali kw amfano maradhi ya kifua kikuu na maradhi mengine ukienda hospitali kutibiwa lakini huwezi kupona na lengo lake mchawi akutese kimaradhi . Na pepo mchafu anakuingia katika zile starehe unazozipenda kwamfano ukipenda wanawake sanautampata pepo wa wanawake ,ukipenda pombe sana utampata pepo aka shetani wa pombe na kadhalika.
[emoji1752][emoji1545]Heri ya mwaka mpya kaka
 
Nashuka Na Visa Viwili
1.Miaka ya 2000+ baba yangu alikuwa mfanyabiashara wa mabasi ya mkoani pamoja na maduka ya jumla akishirikiana na Mdogo wake ambae ni mtoto wa baba ake mkubwa....
Miaka ile biashara hasa ya mabasi ilikuwa inakwenda kishirikina sana sana katika biashara yao akatokea Mtu mmoja wakawa wana ushindani mkubwa sanaa,,miaka hiyo wote baba na baba mdogo walikuwa wanywaji wa pombe sema uwezi wakuta wanakunywa mida ya kazi ila lile bifu na ile ligi ilivokuwa kali nao ulevi uliwazidi wakawa hawapo tena makini na kazi,,walikunywa haswa kama unakumbuka ile miaka Safari lager waliendesha shindano la kushinda kontena,,basi mzee alishinda lile kontena likiwa na bia kreti mia mbili,jenereta,tv nk...ebwana eeh kwa kushirikiana na yule mdogo wake walizinywa ikawa hakuna cha kazi tena jambo la kumshukuru MUNGU mama yetu alikuwa imara sana akaamua simamia biashara zote(wapare wapambanaji sana) bahati mbaya upande wa baba mdogo yeye hakutaka maduka yake mke wake asogelee,,kama mwaka toka wapate lile kontena baba mdogo aifariki gafla tukazika,,wakati ule anafariki mama alikuwa amefanikiwa kununua basi jipya 2by2 kwa wakati ule ni moja ya Luxury bus za mwanzo mwanzo,,basi yule mzee alokuwa wanashindana nae akaanza sambaza maneno kuwa mama ndo kamuua shemeji yake,,kwa bahati hazikufanikiwa,,siku zikaenda mzee akizidi kuwa mlevi haswa,,mama akaenda kwa mtaalamu mmoja akaambiwa baba alilogewa Pombe na ilikuwa lazima anywe hadi afe pia wakadai kuna sijui namna wamefanya hata atakapokufa atakaerithi au msimamizi wa mali ambae angekuwa kaka yetu nae angekuwa mtu wa starehe mpaka auze kila kitu tunashukuru kwa dawa zile mzee aliacha pombe 2008 na hadi leo hagusi na hapendi tunywe basi tu tunakunywa kibishi,,na mwaka huo huo yule mzee alomfanyia hivo mzee alifia gest moja buguruni akiwa na kimada wenye kumbukumbu watakumbuka maana iliripotiwa kwenye magazeti ya udaku(Sijui ni alikufa kwa mapenzi ya Mungu au nao walimfanyia jambo)

2
Kisa cha pili kinatokana ndani ya cha kwanza

Yule baba mdogo alipofariki Mali ziliamuliwa zitakuwa chini ya Mama na Mtoto ake mkubwa wa kiume,,wakati ule mtoto mkubwa alikuwa form 3 hivo akabaki mama anasimamia mpaka yule jamaa alipomaliza masomo yake ya chuo,,akarudi wakati huo Walikuwa wana duka kubwa tu la jumla na reja reja pia walikuwa wanauza vinywaji mshkaji akaanza rasmi kusimamia kama miaka mitatu hivi akawa vizuri sana na maarufu sana ila kwenye 2015 akaanza katabia kaulevi badae akawa mlevi haswaa ndani ya muda mfupi mtaji wa duka ukakata,alifungua baa ikafa,,kwa ufupi kufika 2018 akawa kafirisika,,ndugu tulijitahidi kuna maelekezo tulipewa tukafanye tumpeleke huko ila amegomaga kabisa tumeamua kumuacha,,hadi leo hii anafanya kazi za kidananda tu mara vibarua,mara saidia fundi mara umkute yupo studio za wasanii anawaandikia nyimbo,,mara usikie anaishi na jimama linamlea ila akipata tu hata 10k anaenda lewea yote yani ili asilewe ni asiwe na helaa........

Uchawi/ushirikina mbaya sanaaa


NB:mimi sio mzuri sana kuandika visa ila enzi zile za mpambano wa barabarani nilishuhudia mengi ya ajabu na ni kisa cha kusisimua siku nikipata mwandishi mzuri au kama Mshana Jr utakuwa tayari nikusimulie ukiandike ili wasioamino waamini ila yote kwa yote HAKUNA LINALOSHINDIKANA KWA MUNGU

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Nashuka Na Visa Viwili
1.Miaka ya 2000+ baba yangu alikuwa mfanyabiashara wa mabasi ya mkoani pamoja na maduka ya jumla akishirikiana na Mdogo wake ambae ni mtoto wa baba ake mkubwa....
Miaka ile biashara hasa ya mabasi ilikuwa inakwenda kishirikina sana sana katika biashara yao akatokea Mtu mmoja wakawa wana ushindani mkubwa sanaa,,miaka hiyo wote baba na baba mdogo walikuwa wanywaji wa pombe sema uwezi wakuta wanakunywa mida ya kazi ila lile bifu na ile ligi ilivokuwa kali nao ulevi uliwazidi wakawa hawapo tena makini na kazi,,walikunywa haswa kama unakumbuka ile miaka Safari lager waliendesha shindano la kushinda kontena,,basi mzee alishinda lile kontena likiwa na bia kreti mia mbili,jenereta,tv nk...ebwana eeh kwa kushirikiana na yule mdogo wake walizinywa ikawa hakuna cha kazi tena jambo la kumshukuru MUNGU mama yetu alikuwa imara sana akaamua simamia biashara zote(wapare wapambanaji sana) bahati mbaya upande wa baba mdogo yeye hakutaka maduka yake mke wake asogelee,,kama mwaka toka wapate lile kontena baba mdogo aifariki gafla tukazika,,wakati ule anafariki mama alikuwa amefanikiwa kununua basi jipya 2by2 kwa wakati ule ni moja ya Luxury bus za mwanzo mwanzo,,basi yule mzee alokuwa wanashindana nae akaanza sambaza maneno kuwa mama ndo kamuua shemeji yake,,kwa bahati hazikufanikiwa,,siku zikaenda mzee akizidi kuwa mlevi haswa,,mama akaenda kwa mtaalamu mmoja akaambiwa baba alilogewa Pombe na ilikuwa lazima anywe hadi afe pia wakadai kuna sijui namna wamefanya hata atakapokufa atakaerithi au msimamizi wa mali ambae angekuwa kaka yetu nae angekuwa mtu wa starehe mpaka auze kila kitu tunashukuru kwa dawa zile mzee aliacha pombe 2008 na hadi leo hagusi na hapendi tunywe basi tu tunakunywa kibishi,,na mwaka huo huo yule mzee alomfanyia hivo mzee alifia gest moja buguruni akiwa na kimada wenye kumbukumbu watakumbuka maana iliripotiwa kwenye magazeti ya udaku(Sijui ni alikufa kwa mapenzi ya Mungu au nao walimfanyia jambo)

2
Kisa cha pili kinatokana ndani ya cha kwanza

Yule baba mdogo alipofariki Mali ziliamuliwa zitakuwa chini ya Mama na Mtoto ake mkubwa wa kiume,,wakati ule mtoto mkubwa alikuwa form 3 hivo akabaki mama anasimamia mpaka yule jamaa alipomaliza masomo yake ya chuo,,akarudi wakati huo Walikuwa wana duka kubwa tu la jumla na reja reja pia walikuwa wanauza vinywaji mshkaji akaanza rasmi kusimamia kama miaka mitatu hivi akawa vizuri sana na maarufu sana ila kwenye 2015 akaanza katabia kaulevi badae akawa mlevi haswaa ndani ya muda mfupi mtaji wa duka ukakata,alifungua baa ikafa,,kwa ufupi kufika 2018 akawa kafirisika,,ndugu tulijitahidi kuna maelekezo tulipewa tukafanye tumpeleke huko ila amegomaga kabisa tumeamua kumuacha,,hadi leo hii anafanya kazi za kidananda tu mara vibarua,mara saidia fundi mara umkute yupo studio za wasanii anawaandikia nyimbo,,mara usikie anaishi na jimama linamlea ila akipata tu hata 10k anaenda lewea yote yani ili asilewe ni asiwe na helaa........

Uchawi/ushirikina mbaya sanaaa


NB:mimi sio mzuri sana kuandika visa ila enzi zile za mpambano wa barabarani nilishuhudia mengi ya ajabu na ni kisa cha kusisimua siku nikipata mwandishi mzuri au kama Mshana Jr utakuwa tayari nikusimulie ukiandike ili wasioamino waamini ila yote kwa yote HAKUNA LINALOSHINDIKANA KWA MUNGU

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
NB:mimi sio mzuri sana kuandika visa ila enzi zile za mpambano wa barabarani nilishuhudia mengi ya ajabu na ni kisa cha kusisimua siku nikipata mwandishi mzuri au kama Mshana Jr utakuwa tayari nikusimulie ukiandike ili wasioamino waamini ila yote kwa yote HAKUNA LINALOSHINDIKANA KWA MUNGU[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Simulizi zako zimenisisimua sana ...tuwasiliane kwa ajili ya hiyo story nyingine
 
Back
Top Bottom