Je, unaweza kuwa na mwanaume ambaye muda wote anaomba kinyume na maumbile?

Yaani mm ningekuwa nishamuacha muda sana kuhusu marinda sinaga utani kabisa jamni kutaka kunikosesha ufalme wa mbinguni πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wewe nani kakwambia unaenda mbinguni....wee wa hapa hapa duniani
 
Daaah! Wadada mnavumilia ambayo hata hayapaswi kuvumilika.
 
Kosa kubwa alilofanya ni kukuomba ilitakiwa akufanyie surprise maana hela zetu mnakula sana mnaona raha
 
Duuh!!! Mkimbie huyo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…