CHIBA One
JF-Expert Member
- Nov 16, 2018
- 558
- 2,093
Wakuu samahan kwa kuandika huu uzi usiku usiku... Nina jamaa yangu Kapatwa na matatizo ya Kuyumba kiuchumi. Anataka aniuzie Brevis yake ambayo kimsingi engine yake ni 2.5L na mimi kwa kweli Hapa ndo sipawezi.
Ila ni muda mrefu kweli nalitaman hili dude hasa lilivyo ndani na comfortability yake. Sasa je naweza kumpa hiyo Mill 5 niibebe kisha nikaweka engine ya Carina TI au Premio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila ni muda mrefu kweli nalitaman hili dude hasa lilivyo ndani na comfortability yake. Sasa je naweza kumpa hiyo Mill 5 niibebe kisha nikaweka engine ya Carina TI au Premio?
Sent using Jamii Forums mobile app