Je, unaweza pata Mafanikio bila Nguvu zozote za kiroho?

Je, unaweza pata Mafanikio bila Nguvu zozote za kiroho?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Hello Kama mtu mpamanaji mwenye ndoto za Kupata Mafanikio ambayo yamesimama je unaweza kuyapata bila Nguvu za kiroho?

Hapa sizungumzii Mafanikio ya Nyumba gari na NO

Namaanisha Mafanikio Makubwa ya kuishi vizuri huku ukiwa Una uhakika hata ukilala kitandani miaka mitano bado Biashara zako zitaendelea kuleta pesa na Familia itakula kunywa bila wasiwasi wowote tishio la kufirisika.

Mimi nayatafsriri Mafanikio ya Maisha kwa Mtu ambaye anaweza kuifanya pesa Ikae upande wake hata kipindo Cha magonjwa na hata hakiondoka. Mfano mtu Kama Mengi n.k

Je bila Nguvu za kiroho this is possible?
 
Sana tu why not? Pesa inatafutwa kwa.akili na sio kwa kutumia nguvu za kiroho.

Amini kwamba, Akili y'ako ina nguvu kushinda uchawi wa aina yoyote ile unao ujua/usikia wewe...

Hakuna kitu kinacho weza kuishinda nguvu ya akili katika eneo ambalo akili inafanya kazi.
 
Hello Kama mtu mpamanaji mwenye ndoto za Kupata Mafanikio ambayo yamesimama je unaweza kuyapata bila Nguvu za kiroho?

Hapa sizungumzii Mafanikio ya Nyumba gari na NO

Namaanisha Mafanikio Makubwa ya kuishi vizuri huku ukiwa Una uhakika hata ukilala kitandani miaka mitano bado Biashara zako zitaendelea kuleta pesa na Familia itakula kunywa bila wasiwasi wowote tishio la kufirisika.

Mimi nayatafsriri Mafanikio ya Maisha kwa Mtu ambaye anaweza kuifanya pesa Ikae upande wake hata kipindo Cha magonjwa na hata hakiondoka. Mfano mtu Kama Mengi n.k

Je bila Nguvu za kiroho this is possible?
Bila nguvu za kiroho.. utakuwa nyamaaa ya nguvu za giza.. kutoboa kipengele..
 
Kutoboa inawezekana,ila kumaintain utobozi na ww uwe hai haiwezekani,.
Kutoboa ni juhudi,bahati na akili,ila kumantain utobozi lazima uzame sirini
 
Back
Top Bottom