Je unaweza pata mahusiano yanayoeleweka kupitia Dating Site?

Je unaweza pata mahusiano yanayoeleweka kupitia Dating Site?

Basi bwana, mimi ni ke Nikasema nimekua single miaka 3 ngoja nijiunge dating site nione kama naweza pata mpnz.
Looooh....Najutraaa

Hivi unaweza pata mpnz wa na kuanzisha mahusiano kwenye dating app.?. Maana kila mmoja anataka kupiga na kusepa.

Je wapo waliopata wampenzi na mahusiano kwenye dating app?

Asante

Zama zimebadilika sana na yale mambo ya kizamani ya kupatia mke kanisani, kisimani, chuo yashapitwa na wakati! Maisha yamekuwa kidijitali na mawasiliano yamekua kiganjani so hata dating imachange sana! Kila anayetafuta anatumia njia anazohisi atapata so sio dhambi na wengi tu wameanzia huko na wakawa na maisha mema tu! Siku hizi sio ajabu kukuta mdada mzuri sana kanisani, chuo, hata kwa wazazi wake na baadaye usiku ukamkuta viwanja, so kwa sasa hamna formula wala kukariri eneo la kupatia mwenza
 
punguza vigezo na masharti,, mtaani hapo kuna kijana mwenye malengo nawewe anakumezea mate,,,huko utawakuta waliovurugwa vichwa na wake zao wanaamua kutafta vipoozeo.
Endelea...
 
Nyege ndizo zina wapeleka tinder kuna mwingine video zake zimevuja leo uchi mbaya zinatia kinyaa
Nitumie haraka kabla shemeji yako hajarejea na mimi nisafishe macho,ni black eeh? Warembo sana
 
Basi bwana, mimi ni ke Nikasema nimekua single miaka 3 ngoja nijiunge dating site nione kama naweza pata mpnz.
Looooh....Najutraaa

Hivi unaweza pata mpnz wa na kuanzisha mahusiano kwenye dating app.?. Maana kila mmoja anataka kupiga na kusepa.

Je wapo waliopata wampenzi na mahusiano kwenye dating app?

Asante
Nitafute pm nikusanue
 
punguza vigezo na masharti,, mtaani hapo kuna kijana mwenye malengo nawewe anakumezea mate,,,huko utawakuta waliovurugwa vichwa na wake zao wanaamua kutafta vipoozeo.
Acha kumkatisha tamaa mwenzio mbona sie wanaume tunaojielewa na tunasaka wake tupo huko tinder badoo na hi5.
Ni yeye kuwa open minded na kutoanza na mizinga
 
Acha kumkatisha tamaa mwenzio mbona sie wanaume tunaojielewa na tunasaka wake tupo huko tinder badoo na hi5.
Ni yeye kuwa open minded na kutoanza na mizinga
niwewe ulosema unatembeza hechiayivii kwa vitoto vya chuo 🤣🤣
 
Back
Top Bottom