Barca
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 1,448
- 1,624
Wengi huko ni wagonjwa. Potezea. Ukipata muhimu sana pima afya. Pili wengi wao wanakuwa wamechokwa wanatafuta optionBasi bwana, mimi ni ke Nikasema nimekua single miaka 3 ngoja nijiunge dating site nione kama naweza pata mpnz.
Looooh....Najutraaa
Hivi unaweza pata mpnz wa na kuanzisha mahusiano kwenye dating app.?. Maana kila mmoja anataka kupiga na kusepa.
Je wapo waliopata wampenzi na mahusiano kwenye dating app?
Asante