Je unaweza pata mahusiano yanayoeleweka kupitia Dating Site?

Je unaweza pata mahusiano yanayoeleweka kupitia Dating Site?

Basi bwana, mimi ni ke Nikasema nimekua single miaka 3 ngoja nijiunge dating site nione kama naweza pata mpnz.
Looooh....Najutraaa

Hivi unaweza pata mpnz wa na kuanzisha mahusiano kwenye dating app.?. Maana kila mmoja anataka kupiga na kusepa.

Je wapo waliopata wampenzi na mahusiano kwenye dating app?

Asante
Wengi huko ni wagonjwa. Potezea. Ukipata muhimu sana pima afya. Pili wengi wao wanakuwa wamechokwa wanatafuta option
 
Mitandaoni ni biashara tu kama mtaani. Huko ni international business wakati mtaani ni local business. Hakuna mapenzi ya kweli siku hizi
 
Basi bwana, mimi ni ke Nikasema nimekua single miaka 3 ngoja nijiunge dating site nione kama naweza pata mpnz.
Looooh....Najutraaa

Hivi unaweza pata mpnz wa na kuanzisha mahusiano kwenye dating app.?. Maana kila mmoja anataka kupiga na kusepa.

Je wapo waliopata wampenzi na mahusiano kwenye dating app?

Asante
sawa pole aisee
sasa hesabu tatizo lako limeisha
ingia dm
ila mambo ya kuishiwa gesi sijui ada ya mdogoako imepungua yape break kwanza
maana waswahili hamkawii😂
kingne tackle lipo mkuu?
 
wengi wanaoenda kutafuta wapenzi huko huwa wanatarget kupata wazungu
wapuuzi kweli hlf wakiwa kule ukiwatext hawajibu sms za sisi weusi wenzao wanauchuna kimya kama hawazioni vile. ukitaka kujua kama anaona sms na anazipuuzia wew jaribu umtukane mtusi mzito wa kumwuuma apo lazma akujibu🤣pambafff

mambo yakibuma kabisa ndo wanakuja huku kama hivi na apo ukimpekua sana utakuta ameshazalishwa ana katoto kachanga hom baba wa mwana alishasepa zake, saivi ukute anatafuta mlezi mpya wa mtoto wa baba aliesepa mazima. daah haya maisha acha kabisa
 
Back
Top Bottom