Je unaweza pata mahusiano yanayoeleweka kupitia Dating Site?


Zama zimebadilika sana na yale mambo ya kizamani ya kupatia mke kanisani, kisimani, chuo yashapitwa na wakati! Maisha yamekuwa kidijitali na mawasiliano yamekua kiganjani so hata dating imachange sana! Kila anayetafuta anatumia njia anazohisi atapata so sio dhambi na wengi tu wameanzia huko na wakawa na maisha mema tu! Siku hizi sio ajabu kukuta mdada mzuri sana kanisani, chuo, hata kwa wazazi wake na baadaye usiku ukamkuta viwanja, so kwa sasa hamna formula wala kukariri eneo la kupatia mwenza
 
punguza vigezo na masharti,, mtaani hapo kuna kijana mwenye malengo nawewe anakumezea mate,,,huko utawakuta waliovurugwa vichwa na wake zao wanaamua kutafta vipoozeo.
Endelea...
 
Nyege ndizo zina wapeleka tinder kuna mwingine video zake zimevuja leo uchi mbaya zinatia kinyaa
Nitumie haraka kabla shemeji yako hajarejea na mimi nisafishe macho,ni black eeh? Warembo sana
 
Nitafute pm nikusanue
 
punguza vigezo na masharti,, mtaani hapo kuna kijana mwenye malengo nawewe anakumezea mate,,,huko utawakuta waliovurugwa vichwa na wake zao wanaamua kutafta vipoozeo.
Acha kumkatisha tamaa mwenzio mbona sie wanaume tunaojielewa na tunasaka wake tupo huko tinder badoo na hi5.
Ni yeye kuwa open minded na kutoanza na mizinga
 
Acha kumkatisha tamaa mwenzio mbona sie wanaume tunaojielewa na tunasaka wake tupo huko tinder badoo na hi5.
Ni yeye kuwa open minded na kutoanza na mizinga
niwewe ulosema unatembeza hechiayivii kwa vitoto vya chuo 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…