Wengi huko ni wagonjwa. Potezea. Ukipata muhimu sana pima afya. Pili wengi wao wanakuwa wamechokwa wanatafuta optionBasi bwana, mimi ni ke Nikasema nimekua single miaka 3 ngoja nijiunge dating site nione kama naweza pata mpnz.
Looooh....Najutraaa
Hivi unaweza pata mpnz wa na kuanzisha mahusiano kwenye dating app.?. Maana kila mmoja anataka kupiga na kusepa.
Je wapo waliopata wampenzi na mahusiano kwenye dating app?
Asante
sawa pole aiseeBasi bwana, mimi ni ke Nikasema nimekua single miaka 3 ngoja nijiunge dating site nione kama naweza pata mpnz.
Looooh....Najutraaa
Hivi unaweza pata mpnz wa na kuanzisha mahusiano kwenye dating app.?. Maana kila mmoja anataka kupiga na kusepa.
Je wapo waliopata wampenzi na mahusiano kwenye dating app?
Asante
wa huko si ndio hawahawa wa mitaa kiongozi au?Wengi huko ni wagonjwa. Potezea. Ukipata muhimu sana pima afya. Pili wengi wao wanakuwa wamechokwa wanatafuta option
wapuuzi kweli hlf wakiwa kule ukiwatext hawajibu sms za sisi weusi wenzao wanauchuna kimya kama hawazioni vile. ukitaka kujua kama anaona sms na anazipuuzia wew jaribu umtukane mtusi mzito wa kumwuuma apo lazma akujibuš¤£pambafffwengi wanaoenda kutafuta wapenzi huko huwa wanatarget kupata wazungu