Je, ungependa kufungua kampuni ndani ya siku saba?

Je, ungependa kufungua kampuni ndani ya siku saba?

tax_expert

New Member
Joined
Sep 8, 2022
Posts
2
Reaction score
1
  • Naamin huu uzi unaweza usiwe wa kwanza kwako juu ya ujuzi wa kufungua
  • Kampuni na umekua ukipata ujuzi kutoka kwa watu mbalimbali
  • Lakin ngoja nikuulize swali “unahisi bado kuna kipande cha ujuzi ndani yako kinakosekana?
  • Bhas huu uzi ndio kipande cha ujuzi kilichobaki ambacho kilikua kinakosekana ili kukupa picha kamili.

  • Kampuni ni nini?
  • ni asasi au shirika linalotambuliwa kisheria ambalo limeundwa kwa ajili ya kuunda au kuuza bidhaa na au huduma kwa wateja na linashughulika na aina yoyte ya bishara.
  • Mahitaji muhimu uweze kufungua kampuni
  • Namba za Nida (kwa wamiliki wote wawili)
  • TIN numbers (kwa wamiliki wote wawili)
  • MEMAT (Memorandum & Articles of Association)
  • Phone, Email, P. O. Box na Address (kwa wote wawili)
  • Gharama za Usajili wa Kampuni (Inategemea kulingana na hisa)
Baada ya kutimiza hayo matakwa hapo juu utafanikiwa kabisa kusajili kampuni yako ndani ya mda mfupi sana. Usajili wa kampuni unafaida zifuatazo kwako

  • Kutambulika kisheria hivyo itakuwezesha kuomba baadhi ya kazi ama tender za serikali inamaana utafanikiwa kujiongezea kipato kwa kiwango kikubwa
  • Kupata mikopo/Udhamini hivyo itakuwezesha kutanua wigo wa biashara yako inamaana utakuza biashara yako na kuwa mfanyabiashara mkubwa
Ni Bahati kwako unaweza kupata huduma ya kusajiliwa kampuni yako ndani ya siku saba tu kupata huduma hii tuma ujumbe sasa hivi Kwenda namba 0718968027 offer ni kwa watu kumi ndani ya saa 24.
 
Back
Top Bottom