johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #121
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli ndiyo huo.Napendekeza nchi iwe na dira yake ya uongozi sio Kila raisi anajiamlia no no no,raise afuate dira ya nchi
Mbona hukuizungumzia wakati Kikwete alipoidhinisha hiyo budget?Budget ya kuandaa katiba mpya ipelekwe kujenga vituo vya kutolea huduma za afya.
Hata 15 ni nyingi mkuu! 10 max ikijaziwa na Makatibu wakuu na wasaidizi.Idadi ya wizara isizidi 15
Zinaundwa Wizara za hovyo mara michezo na utamaduni sijui habari ni mambo ya hovyoHata 15 ni nyingi mkuu! 10 max ikijaziwa na Makatibu wakuu na wasaidizi.
Rais wa Tanzania lazima atoke Tanganyika, Haiingii akilini kisiwa chenye watu milion mbili, kitoe marais wawili kuongoza watu milion 60,