mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Muungano uvunjike au twende serikali tatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja, tena pendekezo kama hili nami nililitoa kwa Blaza Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi Mungu akamtwaa kabla ya kulitekeleza hili, na kiukweli linatekelezaka maana Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola!, Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla !.Waziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo
Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi
Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa
Karibu
Nadhani kuvunja muungano siyo jambo jema!Muungano uvunjike au twende serikali tatu
Wanaweza kua ni wananchi, Bodi fulani ya watu wenye weredi yenye watu waliochaguliwa na wananchi kwa kupigiwa kura na si kura za Siasa, wanaweza kuwepo, watu wenye hekima na heshima, madaktari, wanasheria, wasomi wa kilimo nakadharika kulingana na uhitaji wa waTanzaniaFafanua kuhusu kundi maalum na wajumbe wake watatoka wapi?
Napendekeza uwepo ukomo was ubunge miaka 5tu Ili keki ya taifa tuifaidi wote maana watu wamejimilikisha ubungeAndika vyama vifutwe kabisa
Mbali na hizo, Semeni pia Kuwa Rais akifia madarakani, mkaimu wake, akomee siku 90, na baada ya hapo, Uchaguzi huru ufanyike, na yeye asishiriki mpaka awamu inayofuata akitaka aombe kama asiye kuwa kwenye mgumu, siyo kama mtu aliyemo kwenye mamlaka.Binafsi ningependa kwenye katiba mpya. Tuwafungulie MASHTAKA wale wote waliofanya kazi kwenye serikali ya awamu ya Tano. Wote nasisitiza wote. Pia tuwafute kazi jeshi zima la polisi tuanze upya nasisitiza askari polisi wote tuwafukuze kazi warudishe unfom na silaha zetu zote tuanze upya
Napendekeza nchi iwe na dira yake ya uongozi sio Kila raisi anajiamlia no no no,raise afuate dira ya nchiMimi napendekeza Rais anapostaafu ashitakiwe kwa mujibu wa sheria iwapo alikiuka utaratibu wakati anatawala .
Niseme Mimi au useme wewe mbona Kila mtu kaulizwa. What the FCK wrong with you?Mbali na hizo, Semeni pia Kuwa Rais akifia madarakani, mkaimu wake, akomee siku 90, na baada ya hapo, Uchaguzi huru ufanyike, na yeye asishiriki mpaka awamu inayofuata akitaka aombe kama asiye kuwa kwenye mgumu, siyo kama mtu aliyemo kwenye mamlaka.
Hii itasaidia kuepusha watu kuwa na unafiki wa kujipendekeza uchawa katika umri ambao hata chawa hawamo miilini mwao!
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Ruzuku ikiondolewa maana yake chama tawala ndicho pekee kitakacho survive kwa sababu hazina ipo mikononi mwake !!Waziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo.
Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi.
Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa.
Karibu
Kweli kabisa !Futa ubunge wa viti maalum.
Kwani Vyama vyote vinapata Ruzuku?Ruzuku ikiondolewa maana yake chama tawala ndicho pekee kitakacho survive kwa sababu hazina ipo mikononi mwake !!
Ipo ipo tu lakini hakipo. 😅😅Kwani Vyama vyote vinapata Ruzuku?
Mbona vinadunda tu akina CHAUMA ya Mzee Rungwe!
Chipsi mayai iwekwe katika tunu za taifa pamoja na singeliWaziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo.
Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi.
Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa.
Karibu
😀Chipsi mayai iwekwe katika tunu za taifa pamoja na singeli
Yohana Mbatizaji unapendaga ugomvi na Chadema wewe!!!Waziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo.
Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi.
Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa.
Karibu