Kuhusu elimu, vijana mitaala ifundishwe njia za kutatua changamoto kwenye jamii husika na changamoto za kesho kuanzia darasa la kwanza.
Kijana akimaliza hata darasa la saba/ kidato cha nne ana uwezo wa kujiajiri.
Fani kama kilimo bora chenye tija, chakula kizuri kwa afya na jinsi ya kupika, jinsi ya kuzuia magonjwa kutumia chakula, kuishi vizuri.
Jinsi ya kujenga nyumba, ku-repair baiskeli gari, laptops, computers, phone ziwe compursory kuanzia shule za msingi.
Watoto wafundishwe njia sahihi za kutumia pesa (financial literacy) na accounting, biashara.
Elimu iwepo kwa ajili ya kutatua changamoto zinatoitesa jamii. Iende na wakati sio kukariri vitu visivyomsaidia mwanafunzi au jamii.