Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hili ni pendekezo la CDM wakati wa Katiba ya Jaji warioba pamoja na kufuta viti vyote vya upendeleo aka viti maalum.Waziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo
Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi
Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa
Karibu
Nimeipenda namba 11. ni kweli kwamba wafanyakazi wa TRA hawajui kabisa biashara ndiyo maana tozo wazokadiria ni za kubuni, au za kishabiki au za visasi na/au zinatokana na wivu. Niliwahi kuwaza kuwa ingekuwa vizuri sana kama kabla ya mtu kuteuliwa kuwa msimamizi wa kazi TRA angepewa kwanza mtaji wa kiasi aambiwe akaanzishe biashara, akishafanikiwa ndipo ateuliwe kuongoza TRA.1. Kinga ya Rais iondolewe, kabla, wakati na baada ya uongozi wake
2. Matokeo ya kura za urais yapingwe mahakamani
3. Rais apewe mshahara na atumie mshahara wake ambao utakatwa kodi katika kumtunza akiwa Ikulu
4. Familia ya Rais isiwe na kinga, isitumie hela za umma
5. Waziri asiwe mbunge. Mbunge akiteuliwa kuwa waziri, ubunge wake ukome, achaguliwe mbunge mwingine
6. Kuwepo na mgombea Binafsi (iruhusiwe kuwa Rais au Mbunge ambaye hatokani na vyama vya siasa)
7. Viongozi wa mihimili asiteuliwe na Rais
8. Iondolewe nafasi ya Makamu wa Rais abaki Rais na Waziri Mkuu
9. Mwenyekiti wa Chama asiwe Kiongozi katika serikali
10. Cheo kimoja kwa mtu mmoja (kofia zaidi ya moja iondolewe)
11. Mwenyekiti wa TRA awe ni mfanyabiashara si mfanyakazi wa serikali
Naishia hapa kwa leo
NB: Sheria itungwe ili Mtu yeyote atakayehusika na uandaaji au upitishwaji wa katiba hii, asiruhusiwe kugombea uongozi wa nchi hii kwa miaka 20 ijayo na wala asiajiriwe serikalini ili kuondoa uwezekano wa watu kujitungia katiba kwa manufaa yao.
Hiyo mbinu italeta tija uhalisia, maamuzi mazuri kwenye maamuzi.Niliwahi kuwaza kuwa ingekuwa vizuri sana kama kabla ya mtu kuteuliwa kuwa msimamizi wa kazi TRA angepewa kwanza mtaji wa kiasi aambiwe akaanzishe biashara, akishafanikiwa ndipo ateuliwe kuongoza TRA.
Napenda Zanzibar itoke katika makucha ya UKOLONIWaziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo
Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi
Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa
Karibu
Baadhi ya hao wawakilishi wa majimbo waliochaguliwa na wananchi wanamchango gani mpaka sasa?Nakubali vyama vyote vifutwe, watu wachaguliwe. Kutokana na michango yao kwa jamii na jamii husika.
Mfano mbobezi wa sheria, daktari bingwa, kiongozi wa mama ntilie, kiongozi wa machinga, viongozi wa, wakulima, wanafunzi, walemavu, mafundi, wafanyabishara, wafanyakazi nk hawa wote wateuliwe na jamii zao kwenda kuwawakilisha wananchi.
Mapendekezo yangu ni:Waziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo
Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi
Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa
Karibu
Wanapigania maslahi ya chama sio ya wananchi.Baadhi ya hao wawakilishi wa majimbo waliochaguliwa na wananchi wanamchango gani mpaka sasa?
CCM itakufaWaziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo
Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi
Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa
Karibu
Napenda Zanzibar itoke katika makucha ya UKOLONI
Ruzuku ya vyama iwemo...Waziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo
Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi
Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa
Karibu
Ruzuku ya vyama vya siasa iko kwenye kifungu kipi cja katiba? sukuma gang na nguruwe wa uvccm ongezeni maarifa ili yawasaidie yani mmekuwa mkiimba ruzuku ruzuku kumbe hata sheria inayoanzisha hiyo ruzuku ya vyama vya siasa hamjui hovyo kabisa.Waziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo
Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi
Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa
Karibu
Waziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo
Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi
Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa
Karibu
Naunga mkono hoja maana kupitia hizi ruzuku ndo kuna kuwa na wanasiasa wa kufanya biashara na chama kwa mgongo wa kukikopesha chamaWaziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo
Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi
Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa
Karibu