Je, ungependa nini kiwemo kwenye Katiba Mpya? Mimi napendekeza Ruzuku ya Vyama vya Siasa iondolewe!

Je, ungependa nini kiwemo kwenye Katiba Mpya? Mimi napendekeza Ruzuku ya Vyama vya Siasa iondolewe!

Waziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo

Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi

Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa

Karibu
hili ni pendekezo la CDM wakati wa Katiba ya Jaji warioba pamoja na kufuta viti vyote vya upendeleo aka viti maalum.

CDM ni kiongozi wengine daima hufuatia.
 
Elimu ya uhalisia ni muhimu sana kabla ya Mfumo wa sasa tulikuwa na mifumo ya kiuhalisia.

Mtoto mwanaume wa kimasai akifika miaka 14-18 anaenda jando. Hapo anajifunza kuwinda (kazi), kuua simba, kukatwa govi bila ganzi au kulia kuhakikisha ni jasiri. Anaitetea familia jamii.

Baada ya miezi kadhaa anarudi nyumbani kama mwanaume anaoa. Mtu mzima mwenye nyumba, familia chakula, kipato.

Msichana hivyo hivyo kujifunza kulea familia.
 
Elimu yetu inabidi iwe ya kiuhalisia. Tuwaige Watanzania asili, zetu. Ila tuboreshe kwa mazingira ya leo.

Ni elimu ya ajabu mtu wa miaka 25, 30, 40 bado anatafuta ajira. Hajaandaliwa kukabiliana na maisha. Yupo nyumbani kwa wazazi wake. Anaomba pesa ya kunyoa ndevu.
 
1. Kinga ya Rais iondolewe, kabla, wakati na baada ya uongozi wake
2. Matokeo ya kura za urais yapingwe mahakamani
3. Rais apewe mshahara na atumie mshahara wake ambao utakatwa kodi katika kumtunza akiwa Ikulu
4. Familia ya Rais isiwe na kinga, isitumie hela za umma
5. Waziri asiwe mbunge. Mbunge akiteuliwa kuwa waziri, ubunge wake ukome, achaguliwe mbunge mwingine
6. Kuwepo na mgombea Binafsi (iruhusiwe kuwa Rais au Mbunge ambaye hatokani na vyama vya siasa)
7. Viongozi wa mihimili asiteuliwe na Rais
8. Iondolewe nafasi ya Makamu wa Rais abaki Rais na Waziri Mkuu
9. Mwenyekiti wa Chama asiwe Kiongozi katika serikali
10. Cheo kimoja kwa mtu mmoja (kofia zaidi ya moja iondolewe)
11. Mwenyekiti wa TRA awe ni mfanyabiashara si mfanyakazi wa serikali
Naishia hapa kwa leo

NB: Sheria itungwe ili Mtu yeyote atakayehusika na uandaaji au upitishwaji wa katiba hii, asiruhusiwe kugombea uongozi wa nchi hii kwa miaka 20 ijayo na wala asiajiriwe serikalini ili kuondoa uwezekano wa watu kujitungia katiba kwa manufaa yao.
Nimeipenda namba 11. ni kweli kwamba wafanyakazi wa TRA hawajui kabisa biashara ndiyo maana tozo wazokadiria ni za kubuni, au za kishabiki au za visasi na/au zinatokana na wivu. Niliwahi kuwaza kuwa ingekuwa vizuri sana kama kabla ya mtu kuteuliwa kuwa msimamizi wa kazi TRA angepewa kwanza mtaji wa kiasi aambiwe akaanzishe biashara, akishafanikiwa ndipo ateuliwe kuongoza TRA.
 
Niliwahi kuwaza kuwa ingekuwa vizuri sana kama kabla ya mtu kuteuliwa kuwa msimamizi wa kazi TRA angepewa kwanza mtaji wa kiasi aambiwe akaanzishe biashara, akishafanikiwa ndipo ateuliwe kuongoza TRA.
Hiyo mbinu italeta tija uhalisia, maamuzi mazuri kwenye maamuzi.
 
Waziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo

Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi

Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa

Karibu
Napenda Zanzibar itoke katika makucha ya UKOLONI
 
Nakubali vyama vyote vifutwe, watu wachaguliwe. Kutokana na michango yao kwa jamii na jamii husika.

Mfano mbobezi wa sheria, daktari bingwa, kiongozi wa mama ntilie, kiongozi wa machinga, viongozi wa, wakulima, wanafunzi, walemavu, mafundi, wafanyabishara, wafanyakazi nk hawa wote wateuliwe na jamii zao kwenda kuwawakilisha wananchi.
Baadhi ya hao wawakilishi wa majimbo waliochaguliwa na wananchi wanamchango gani mpaka sasa?
 
Waziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo

Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi

Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa

Karibu
Mapendekezo yangu ni:
1. Vyama vya siasa viwe vitatu tu.
2. Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu ihamishiwe TAKUKURU
3. Mikataba yote ya Serikali na haswa ya miradi mikubwa iwekwe wazi kabisa na wahusika walioandaa huo mkataba watangazwe wazi na wawe wameweka sahihi document ya kula kiapo kuwa wako tayari kushtakiwa kama mkataba utabainika kutokuwa n manufaa kwa Taifa
4. Sheria za nchi zipitiwe upya na kuboreshwa ili ziendane na wakati. Zipo sheria nyingi zimepitwa na wakati.
5. ..... nitaendelea baadaye..
 
Waziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo

Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi

Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa

Karibu
CCM itakufa
 
Napenda Zanzibar itoke katika makucha ya UKOLONI

Wapewe uhuru 100% wa kuchagua nini wanataka. Wakijua pia kuna Wazanzibari wengi Tanganyika labda kuliko Zanzibar.

Muhimu pia kuangalia Historia ya Zanzibar kwa miaka 1500 iliyopita.

Zanzibar ni nini? Hili jina lina maana gani? Watu wa Zanzibar ni akina nani? Wametokea wapi wengi wao? Kwanini kulikuwa na Muungano? Serikali ya mapinduzi? Bila muungano mtawala na serikali yake angekuwa nani?

Walifanya nini kwa Wazanzibari wengi kwa miaka zaidi ya 500? Kusudi hasa ni lipi miaka 60 iliyopita au leo la mapinduzi Demokrasia ni nini?

Kwamba utawala urejeshwe kwa nani? Nani ataathirika, wananchi watanufaika au kuaathirika?

Wanatenganishwa na nini?

Nini itakuwa hatima ya Kutengana, kusafiri, biashara zao ilala, kariakoo, nyumba zao kigamboni, mashamba yao TZ nzima, kupewa uongozi Tanganyika mkubwa popote Tanzania yote?

Pato la Wazanzibar liaathirika vipi?

Huu muungano unaweza kuboreshwa? Kupendwa na pande mbili? Nini kiboreshwe?

Kura ya maoni inaweza kufanyika kuuliza maswali haya yote. Majibu kuzingatiwa kama Scotland Brexit.
 
Natamani sana tume ya uchaguzi wahusika wasiteuliwe na rais lakini sioni jinsi Marais watakavyo shindwa kutia Miko oyao.
 
Waziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo

Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi

Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa

Karibu
Ruzuku ya vyama iwemo...
Ruzuku ya kampeni iwemo... (Wagombea wakishapitishwa basi wapewe mafungu yenye masharti kwa ajili ya kampeni). Matumizi yawe sawa!
 
Waziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo

Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi

Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa

Karibu
Ruzuku ya vyama vya siasa iko kwenye kifungu kipi cja katiba? sukuma gang na nguruwe wa uvccm ongezeni maarifa ili yawasaidie yani mmekuwa mkiimba ruzuku ruzuku kumbe hata sheria inayoanzisha hiyo ruzuku ya vyama vya siasa hamjui hovyo kabisa.

By the way katiba haianzishi ruzuku ya vyama vya siasa hivyo haiwez kuondolewa kwenye katiba.
 
Waziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo

Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi

Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa

Karibu

Wabunge wawe na eleimu kuanzia degree
 
Waziri wa Katiba na Sheria ameshapuliza kipyenga cha mchakato wa Katiba Mpya hivyo ni vema tukaanza kuchangia mawazo

Binafsi napendekeza Ruzuku ya vyama vya Siasa iondolewe ili vyama vijifunze Kujitegemea ili vikiingia madarakani visiwe Mchwa wa kutafuna Kodi za Wananchi

Toa mapendekezo yako wahusika watayaona na kuyachukua kutoka hapa

Karibu
Naunga mkono hoja maana kupitia hizi ruzuku ndo kuna kuwa na wanasiasa wa kufanya biashara na chama kwa mgongo wa kukikopesha chama
 
Wabunge walipwe fixed salary yenye makato yoote kuanzia kodi na mifuko ya hifadhi ya jamii... sitting allowance ziondolewe, mafao walipwe kama wastaafu wengine...
 
Kukitokea kifo kile chama cha pili kichukue madaraka. Nafasi za DC RC, DAS, RAC Jaji zoote zitangazwe, Mawaziri wasiwe wabunge. Tume huru ya uchaguzi,
 
Back
Top Bottom