Mimi ninapendekeza yafuatayo kwenye katiba mpya;
1. Cheo cha Makamu wa raisi kiondolewe abakie waziri Mkuu tu. Hawa watu wawili ni mzigo kwa Taifa.
2. Cheo cha mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya viondolewe wabakie wakurugenzi tu
3. Mawaziri wasiwe wabunge
4. Mabalozi wa shina wasiwe na vyama bali wawe chini ya mkuu wa kata.
5. Iwepo sheria kali sana ya kulinda mapato ya Serikali ili kuzuia wizi wa pesa
6. Kuwe na sheria kali ya kuzuia watu kujenga jenga ovyo ovyo Mipango miji iwekewe kipambele wakiangalia miaka hamsini au mia moja ijayo
7. Mabalozi wa shina wasiwe na vyama bali wawe chini ya mkuu wa kata.
Kwa leo ni hayo tu nitaendelea siku nyingine.