Je, uongozi wa Roman Catholic ni 'ndumilakuwili' au huyu Papa tumepandikiziwa? Tutegemee nini?

Je, uongozi wa Roman Catholic ni 'ndumilakuwili' au huyu Papa tumepandikiziwa? Tutegemee nini?

Kama tulisom kwenye history kuw kulkuw na ujio wa missionary (Dini) tuujue din nitaasi kam NMB

sasa ukiend na wake wawili kanisan hutobalikiw

Ila mashoga wakiend watabalikiw

Nazan kanisan pia linalenga mapato
 
Ukristo ndo wao wameuleta sisi tumeupokea tu. Sasa hivi wanaboresha ukristo wao sisi tunalalamika😀😀
Waachieni dini yao.
Dini ni utapeli tu kama ilivyo ndoa.
Mimi sio mfuasi wa dini, ila naelewa Dini watu wanazifuata kwa sababu zilikuwa zinatoa muongozo fulani kwa watu kuhusu maadili, usiibe, usizini, mpende jirani yako kama unavyojipenda nk ,

Hii ndio inafanya hata mzazi kumpeleka mtoto wake akafindishwe dini, Ila kwa sasa ishapoteza tena hata huo muongozo wa maadili
 
Uongozi wa Roman Catholic kwa miaka 15 iliopita umekua na changamoto sana hasa hasa kuhusu mambo ya ubakaji, rushwa na ushoga.

Miaka ilopita tulishuhudia Papa Benedict anajiondoa kwenye kile kiti, kitendo ambacho kilizua maswali mengi sana. Japo baadhi ya watu wanadai Papa Bemedict alikua anasukumwa na baraza lake kuidhinisha vitendo vya 'laana' ikiwemo ndoa za jinsia moja - ushoga. Hivyo ili kulinda agano lake kwa Mungu na mtangulizi wake (pope John Paul II) ikabidi aachie kiti kuliko kufanya maamuzi yanayoruhusu kuingiza laana kwenye kanisa.

Kwa hali inayoendelea kwa sasa kuna maswali mengi yanajitokeza.

kwa nini Roman Catholic wasiruhusu kubariki ndoa za wake wengi waje kuruhusu kubariki ushoga?

Kwa nn wasiruhusu na kubariki utumiaji wa njia za uzazi wa mpango waje waruhusu ushoga?

Kwa nn wasiwaruhusu makasisi kuoa waje waruhusu kubariki wanaume kuoana wao kwa wao?

Nimesoma huo waraka ulotolewa unadai haujaruhusu ndoa za jinsia moja ila umeruhusu 'kubariki' mahusiano ya jinsia moja. Kitendo cha kuruhusu kubariki haya mahusiano ya kishoga si ndio hukohuko kutoa go-ahead watu wafanyiane mambo ya sodoma na gomorra.

Je, sisi wazazi tutawaambia nn watoti wetu tunaowakataza kuangalia tamthilia za kifilipino na kizungu zinazoonesha ushoga lakini tunawaruhusu kwenda kanisani ambapo viongozi eake wameambiwa wabariki ushoga? Kwa maneno mengine Roman Catholic imeruhusu mashoga kwenda kanisani wameshikana kama couple za kawaida.

Tumaini pekee la kuokoa kanisa dhidi ya huu ufilauni ni hawa 'Conservative Cardinals' na hata wakiweza wamuondoe huyu Papa kwemye hicho kiti maana kwenye uongozi wake hakuna kikubwa alichofanya kwenye kanisa zaidi ya kuharibu miiko iliopo toka zama na zama.

Mtakatifu Yohanna Paulo wa pili, Utuombee. Amen
Ingefaa kanisa la kikatoliki afrika ligome huu ushenzi na kujitenga na vatican kama kanisa la anglican walivyojitenga kuongozwa na kanisa la uingereza. Makadinali wamueleze huyu papa mpenda ushoga achague, kusuka au kunyoa. Ushoga tayari umehukumiwa na mungu kwenye biblia papa yeye ni nani awabariki wapenzi wa jinsia moja.
 
Kanisa katoliki halitakufa. Ni suala la muda tu madhehebu mengine yataunga mkono hoja wewe subiri utaona.
Anglikana siku nyingi walishahalalisha ushoga, hata maaskofu wao baadhi ni mashoga.
Watu wanajipa moyo kuwa mambo yatabadilika na kuwa mazuri.

Yaani hizi siku za mwisho ni kutoka ubaya kwenda ubaya zaidi
 
Uongozi wa Roman Catholic kwa miaka 15 iliopita umekua na changamoto sana hasa hasa kuhusu mambo ya ubakaji, rushwa na ushoga.

Miaka ilopita tulishuhudia Papa Benedict anajiondoa kwenye kile kiti, kitendo ambacho kilizua maswali mengi sana. Japo baadhi ya watu wanadai Papa Bemedict alikua anasukumwa na baraza lake kuidhinisha vitendo vya 'laana' ikiwemo ndoa za jinsia moja - ushoga. Hivyo ili kulinda agano lake kwa Mungu na mtangulizi wake (pope John Paul II) ikabidi aachie kiti kuliko kufanya maamuzi yanayoruhusu kuingiza laana kwenye kanisa.

Kwa hali inayoendelea kwa sasa kuna maswali mengi yanajitokeza.

kwa nini Roman Catholic wasiruhusu kubariki ndoa za wake wengi waje kuruhusu kubariki ushoga?

Kwa nn wasiruhusu na kubariki utumiaji wa njia za uzazi wa mpango waje waruhusu ushoga?

Kwa nn wasiwaruhusu makasisi kuoa waje waruhusu kubariki wanaume kuoana wao kwa wao?

Nimesoma huo waraka ulotolewa unadai haujaruhusu ndoa za jinsia moja ila umeruhusu 'kubariki' mahusiano ya jinsia moja. Kitendo cha kuruhusu kubariki haya mahusiano ya kishoga si ndio hukohuko kutoa go-ahead watu wafanyiane mambo ya sodoma na gomorra.

Je, sisi wazazi tutawaambia nn watoti wetu tunaowakataza kuangalia tamthilia za kifilipino na kizungu zinazoonesha ushoga lakini tunawaruhusu kwenda kanisani ambapo viongozi eake wameambiwa wabariki ushoga? Kwa maneno mengine Roman Catholic imeruhusu mashoga kwenda kanisani wameshikana kama couple za kawaida.

Tumaini pekee la kuokoa kanisa dhidi ya huu ufilauni ni hawa 'Conservative Cardinals' na hata wakiweza wamuondoe huyu Papa kwemye hicho kiti maana kwenye uongozi wake hakuna kikubwa alichofanya kwenye kanisa zaidi ya kuharibu miiko iliopo toka zama na zama.

Mtakatifu Yohanna Paulo wa pili, Utuombee. Amen
Kuna watu wengi watajitenga na Rumi aka Vatican, kuna watu wengi hata viongozi hawakubaliani na hili jambo.
 
Papa ni kiongozi TU na sio mkubwa kuliko kanisa
Papa si kiongozi wa kanisa, ni kiongozi wa madhehehu ya kanisa katoliki tuu na siyo kanisa lote. Sasa kaamua wa RC wanaume muoane. Anaepinga àhame amuachie RC yake.
 
Wamenikata stimu sana hawa jamaa. Sijui nitawaambia nn watoto wangu. Paroko wangu aliwahi kusema 'neno ushoga hata halipaswi kuongelewa sababu ni laana tu hata kulitamka'
Paroko yuko sahihi kabisa, sasa wewe unasemaje? Utaolewa au utahama?
 
😆😆😂😂 Papa kachafua Hali ya hewa kuelekea x-mass! Kazi ipo!
 
Kanisa katoliki halitakufa. Ni suala la muda tu madhehebu mengine yataunga mkono hoja wewe subiri utaona.
Anglikana siku nyingi walishahalalisha ushoga, hata maaskofu wao baadhi ni mashoga.
Kibongo bongo tunasema papa anaupiga mwingi.
 
Ukristo ndo wao wameuleta sisi tumeupokea tu. Sasa hivi wanaboresha ukristo wao sisi tunalalamika😀😀
Waachieni dini yao.
Dini ni utapeli tu kama ilivyo ndoa.
He he he na wewe kumbe ni kataa ndoa
 
Huyu papa inabidi tumuondoe haraka sana!
Unamuondoaje. Si mnasemaga anateuliwa na Mungu kupitia moshi mweupe. Kingine mnachokosea mnadhani huyu papa ndio shida. Haya ni maamuzi ya management yote ya katoliki roma hapo papa yeye ni msemaji tu. Hata Akija bashite na kilolo awe papa bado wangesema haya haya
 
Waafrika rudieni dini zenu za asili!


Waislam na jihadi ya kuua watu

Wakristo Sasa ni ruksa kuzibuana makalio.


Hahaha

Endeleeni kuwa wajinga
 
Back
Top Bottom