SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
- Thread starter
- #21
SAnaSema huyu Mama anaimba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SAnaSema huyu Mama anaimba
Ndioo huoni mremaKwamba nikizeeka nitahitaji wa kuishi nae kuliko sasa hivi?
Acha tu ndio maana watu wanapotezea kuolewa siku hizi
SanaaaUnamuweza
Basi nikizeeka nitaoa.Ndioo huoni mrema
Ndio... Sasa kama pesa sina unaniitaje bahiri madamHadi wewe acheni ubahili
Huwo ni mtego.Unamanisha nini
Huku kila mtu sitajiriNdio... Sasa kama pesa sina unaniitaje bahiri madam
WaniniHuwo ni mtego.
Mimi sasa sio tajiri ndo mana mda wote nipo na mishangaziHuku kila mtu sitajiri
Tego hilo 🤣 jichanganye ndugu
😁😁😁 ila nitakuja kuoa tu , nimeona kila nikisonga ugali nashindwa kuziosha surufia nazitupa😁Tego hilo 🤣 jichanganye ndugu
Aku mie sio singleTego hilo 🤣 jichanganye ndugu
UnarahaMimi sasa sio tajiri ndo mana mda wote nipo na mishangazi
🤣🤣🤣🤣Una 🥱.....upo sahihi.... lakini ukiwa na mnaesikilizana ni very good aiseeKuoa kwa sasa ni kama kujipeleka kwenye mtego wa panya😆
Kufua, kuosha vyombo & kupika aiseee zinatesaga kinoma😁😁😁 ila nitakuja kuoa tu , nimeona kila nikisonga ugali nashindwa kuziosha surufia nazitupa😁
Kabisa hili silipingi.🤣🤣🤣🤣Una 🥱.....upo sahihi.... lakini ukiwa na mnaesikilizana ni very good aisee
😁😁 oa kijanaKufua, kuosha vyombo & kupika aiseee zinatesaga kinoma