Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kufumaniwaaaa sidhani km nilishawahi kufumaniwa/kufumuaniaaa kwanza wanaume wangu wa day worker/take away
oooow sorry, utetezi wake duh!Nilikuta nguo za mwanamke wake kuuliza akanijibu kuna mdada namdai hivyo nashikilia nguo zake.Nilipoondoka sikurudi tena hadi leo.Huwa sipendi maumivuvya moyo
Wapo wenzio wanazitumia adi 5 we unashangaa 2Mtu unawezaje tumia dushe mbili kwawakati mmoja!!! Yaani leo upo na nyingine, kesho upo na nyingine!!! [emoji53][emoji53][emoji53][emoji53]
Ndo maana wakaka wanaolalamika kubusu mabwawa wameongezeka aisee!
Paprika pussy kama ni bwawa ni bwana tu.Mtu unawezaje tumia dushe mbili kwawakati mmoja!!! Yaani leo upo na nyingine, kesho upo na nyingine!!! [emoji53][emoji53][emoji53][emoji53]
Ndo maana wakaka wanaolalamika kubusu mabwawa wameongezeka aisee!
ahhaaaaa pole shosti sasa ulitaka umle mwenyewe? majukumu mengine yupo vipi kwani?mimi nimetoka kumfumania mwanaume juzi wallah sikuamini macho yangu....hapa nilipo sina hamu
yupo yupo tuu hawa viumbe sijui wakojeahhaaaaa pole shosti sasa ulitaka umle mwenyewe? majukumu mengine yupo vipi kwani?
Yaaani! Alikuona ww kiazi sana eeNilikuta nguo za mwanamke wake kuuliza akanijibu kuna mdada namdai hivyo nashikilia nguo zake.Nilipoondoka sikurudi tena hadi leo.Huwa sipendi maumivuvya moyo
Usithubutu kushika sim ya mkeo ay gf au fb . Labda kama mnataka kuachana hapo sawaNilikuwa na girl flani nkampendaa sanaa na kumuaminii..ikafika stage ya kupeana namba za siri za Facebook..nlikuwa sipendi kabisaa kuingia kwenye account yakee...but kuna siku sasa nkasema ngoja niingie nione japo kidogo...Duuh nlivyovionaa.. Kuna jamaa alikuwa anasema ni rafiki akee nkakuta kamtumia Picha za dudu...mara sijui nae kamtumia picha za Utupuu.. Yanii!! Nliishiwa na nguvu nlihisi mpaka kuzimia... Maana binti nae alikuwa anajifanya mcha Mungu sanaaa..
We magic stick MTU atachepuka VIP?Ni kweli, hata uwe na magic stick