Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Lugha tata hii [emoji2] [emoji2] ila nimekuelewa.Ni kamsemo kapya tu yaani osha vyombo watu wale huelewi tu bado??
Haya nenda kwa amaniDuh! Lugha tata hii [emoji2] [emoji2] ila nimekuelewa.
Du! Ila Kapeace unaonekana utaishi maisha marefu. HongeraPole ya nini mkuu, maisha kugawana cha peke yako ni ulichonacho mapajani mradi tucheze kwa step
Mbona unamfukuza ? si umuulize nae kama anataka aoshewe vyombo ?Haya nenda kwa amani
OK according to mathematics addition principles 2+0=2[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Ongeza sifuri mbele
"kuoshea watu vyombo" ndo kufanyaje kapeace?Kwanza hutakiwi kupanic hapo ndo utapomchezea akili yake kwa muda mrefu kuna mdingi alifumwa na mkewe jinsi anavyojipendekeza sasa wiki ilopita kamnunulia harrier mamsapu wake hiyo yote anajiombesha msamaha maza mwnyw sasa anaoshea watu vyombo km hana akili
sio wote wanalipiza..wengine ni hulka tuu kupenda kubadilisha mipiniSio kuviziana
Kukitembeza nje mnapendaga wanaume sisi wanawake tunalipizaga tu
Doh pole basi hauna maisha interestingSijawahi fumaniwa sijawahi fumania
Ivyo eesio wote wanalipiza..wengine ni hulka tuu kupenda kubadilisha mipini
Asante mkuuDoh pole basi hauna maisha interesting
Unajua kila kabila lina namna yake ya ku react wanapofumaniana. Hebu imagine ufumaniwe na Mkurya/Mtende kama hujaondoka kiungo kimoja huna, Muhaya akifumania hana noma, Mzaramo akimfumania mkewe atasogea pembeni aanze kulia huku anawaangalia wanavopiga game, halafu huyo mgoni wake akiondoka Mzaramo anatoa pole kwa mkewe 'Mke wangu pooolee'Ivyo ee
HahahahaUnajua kila kabila lina namna yake ya ku react wanapofumaniana. Hebu imagine ufumaniwe na Mkurya/Mtende kama hujaondoka kiungo kimoja huna, Muhaya akifumania hana noma, Mzaramo akimfumania mkewe atasogea pembeni aanze kulia huku anawaangalia wanavopiga game, halafu huyo mgoni wake akiondoka Mzaramo anatoa pole kwa mkewe 'Mke wangu pooolee'
Mmh Kapeace kwahyo dawa ya moto ni moto au..sio poaNilitaka ajue nimejua so yy ndo hana amani sasaiv mi naendelea kuoshea watu vyombo raha mustarehe
Siwezi kufa na utamu wanguMmh Kapeace kwahyo dawa ya moto ni moto au..sio poa
Hahahaa Mbavu zangu "kweli kiboyaboya "hahaaJuzi nilikuwa kwenye ndege nimekaa na dada mmoja seat zimefuatana ktk maongezi mengi ya kufahamiana akaniuliza swali?!
Embu tumwite huyu dada jina la Caroline
Caroline: umeolewa?! Una watoto wangap?!
Money Penny: ndio, watoto 3 wajukuu 3
Caroline: noo waaay.. mbona unaonekana mdogosana mimi nilijua Una miaka 25?!
Money penny: nikacheka, nikamwuliza wewe Umeshaolewa?!
Caroline: Ndio, ila nipo divorced
Money Penny: oh pole jaman, what happened (ilikuwaje?!)
Caroline: Mume ali-cheat na rafikiyangu nikawafumania baada ya kutonywa na mtu ina mana walianza huu mchezo muda sana. .. nikaachana nae nikashinda kesi mahakamani nikaondoka na watoto ijapokuwa nimemruhusu kwa mwezi mara 8 aje achukue watoto ila hawalali kwake. .
Money Penny: pole sana, nikachoka kweli wazungu wahapendi ujinga nikikufuma tu nakuacha
Caroline: asante, ulishawahi kumfumania mpenzi wako? !
Money Penny: ndio, my ex boyfriend
Caroline: ikawaje?! Ulimwacha?!
Money penny: hapana aliondoka mwenyewe
Caroline: sijakuelewa hapo bado aliondokaje?!
Money Penny: hata mimi nilitonywa kama wewe nikawafumania nyumbani kwa ex wangu ndio Kwanzaa ex amekoleaa juu analia
Nikafungua mlango nikakaa nawaangalia wanaimba yeeees yeeees yeeees kuja kushtuka nimekaa nawaangalia
Caroline: Mungu wangu, what happened next?!
Money Penny: waliponiona wakashtuka wakaanza kuogopa, nikavua nguo nikawa-join tukafanya three sum lakini mimi ndio kiranja
Yule mchepuko akikosea namwelekeza wapi ampe raha ex anakolea kweli nilipoona mchepuko amefuzu nikavaa nguo nikaondoka
Usiku huo huo ex alinitafuta anaomba msamaha anasema hajawahi kukutana na kichaa asiekuwa na roho kama mimi anaomba msamaha
Nikamjibu nimekusamehe ila siwezi kuendelea na wewe, nikamdanganya natembea na baba yako na ana dushe kubwa zaidi yako kwahiyo hata nikirudi kwako sitaenjoy kama navy enjoy kwa baba yako
Yule ex hakuamini nahisi alipata mshtuko alimchukua miaka 10 mpaka nimemaliza kuzaa watoto 3 ndio akaoa
Caroline: doh kweli waTz ni stronger
Money penny: ndio sisi ni stronger, haya maisha usikubali kufa kiboyaboya lazma mgawane maumivu
Nikuulize wewe mpenzi msomaji ulipomfumania mpenzi/ mke/ mume wako ulichukua hatua gani?! Au ndio ukafa na tai yako shingoni ukamwachia Mungu kama wapendwa?!
Money Talk Kichaafulani Ngosha jr Ngosha Mashine Jiwedogo Vladimirovich Putin
Wachaga wanakutoza pesa, mbege na ndafu kisha wanakupa jani la isare mnamalizana, ukiwa na hela ya fine usiogope kufumaniwa uchaganiHahahaha
Wachaga je
HeheheWachaga wanakutoza pesa, mbege na ndafu kisha wanakupa jani la isare mnamalizana, ukiwa na hela ya fine usiogope kufumaniwa uchagani
HahahaHahahaa Mbavu zangu "kweli kiboyaboya "hahaa
hahahaduuu noumah kwel#sadstory
nashukuruFollowing
nani?Ukaanza kulia?!
ahahahahaUsimfanyie npenzi wako suprise hata siku moja.
Utajisapraizisha mwenyewe