Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Aisee kama wap labda? !na kwanini umfumanie......kuna mahali unakosea.....lazima apindue ngalawa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee kama wap labda? !na kwanini umfumanie......kuna mahali unakosea.....lazima apindue ngalawa....
Me nataka kujua ikawajePole ya nini mkuu, maisha kugawana cha peke yako ni ulichonacho mapajani mradi tucheze kwa step
Wapendwa ktk bwana kama nyie ndio nawapendaaakumuacha ngumu......nauonea huruma MOYO
Kwahiyo wewe maisha yako yapoyapo tusijawah waza hayo masha!na sijawah fumania/fumaniwa!
Maza ni boyaKwanza hutakiwi kupanic hapo ndo utapomchezea akili yake kwa muda mrefu kuna mdingi alifumwa na mkewe jinsi anavyojipendekeza sasa wiki ilopita kamnunulia harrier mamsapu wake hiyo yote anajiombesha msamaha maza mwnyw sasa anaoshea watu vyombo km hana akili
Unatukana utabaniwahahahahha ndo hyu wa 90min? kha!*****
Sijaamin Hayo Maneno Uliyosema Umedhamiria Kuyasema Au Yamekuponyoka TuuuuLeo nakukoti mkuu bichwa lako lina ufa nadhani
Nasubiri kichambo chako cha rubbish idiot au empty set
Kwahiyo mpaka Leo hii tangu akatae kula kumetokea niniNilipika pilau ya nyama kuku kilo 2 me nikala ugali ¼ kilo akagoma kula akasema nimemuwekea sumu kwenye pilau.... [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119]
Hahahaha Acha ayaseme tuSijaamin Hayo Maneno Uliyosema Umedhamiria Kuyasema Au Yamekuponyoka Tuuuu
Kwahiyo wewe maisha yako yapoyapo tu
Hayana interests yeyote
Wazungu wanasema yanaboaa
Maza ni boya
Hizi neema ningepataga mie ningezitumia sjui kwanini hazinipati
Ili Siku Nyingine Utunge Stories Kupitia Icho KisaMe nataka kujua ikawaje
Ngoja Niongee Na Mkurugenzi Wa Tiss Upewe Kampani #Kwahiyo mpaka Leo hii tangu akatae kula kumetokea nini
Ili Siku Nyingine Utunge Stories Kupitia Icho Kisa
Hongera
HahahaNilipika pilau ya nyama kuku kilo 2 me nikala ugali ¼ kilo akagoma kula akasema nimemuwekea sumu kwenye pilau.... [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119]
Sio kuvizianakumbe kufumania ndo maisha yapo boomba eh? bas endeleeni !
maisha ya kuviziana never kwangu
Yangekuwa yanaboa usingecomment hapa kwenye uzi wangukumbe nawe maisha yako yanaboa eh?
Naa dearIli Siku Nyingine Utunge Stories Kupitia Icho Kisa
Hongera