Je, ushawahi kumfumania mpenzi wako au kufumaniwa? Ilikuwaje?

Je, ushawahi kumfumania mpenzi wako au kufumaniwa? Ilikuwaje?

Kwanza hutakiwi kupanic hapo ndo utapomchezea akili yake kwa muda mrefu kuna mdingi alifumwa na mkewe jinsi anavyojipendekeza sasa wiki ilopita kamnunulia harrier mamsapu wake hiyo yote anajiombesha msamaha maza mwnyw sasa anaoshea watu vyombo km hana akili
Maza ni boya
Hizi neema ningepataga mie ningezitumia sjui kwanini hazinipati
 
Sisi ni kawaida sana kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja,hizo habari za kuwindana,kufumaniana,siyo mpango!
 
Back
Top Bottom