Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unashida na mimi kupanda ndege Au Unashida na nilivyomnyoosha ex?!Hiyo ndege uliyopanda labda ni mtumbwi..empty set
Ahahahahaha alikuwowa Au? !Ulimfanya poa dear ex nilimfumania saiv naosha vyombo watu wale
Mume ndio niliyemfumaniaAhahahahaha alikuwowa Au? !
hhhhhhhh[emoji23]Hiyo ndege uliyopanda labda ni mtumbwi..empty set
Mume ndio niliyemfumania
Pole ya nini mkuu, maisha kugawana cha peke yako ni ulichonacho mapajani mradi tucheze kwa stepPole . Duu ikawaje ?
Mume ndio niliyemfumania
Nilitaka ajue nimejua so yy ndo hana amani sasaiv mi naendelea kuoshea watu vyombo raha mustareheduh!baba watoto? jaman kip kilikufanya uwe na guts za kumfumania? pole sana
Kwanza hutakiwi kupanic hapo ndo utapomchezea akili yake kwa muda mrefu kuna mdingi alifumwa na mkewe jinsi anavyojipendekeza sasa wiki ilopita kamnunulia harrier mamsapu wake hiyo yote anajiombesha msamaha maza mwnyw sasa anaoshea watu vyombo km hana akilisijawah waza hayo masha!na sijawah fumania/fumaniwa!
Nilitaka ajue nimejua so yy ndo hana amani sasaiv mi naendelea kuoshea watu vyombo raha mustarehe
Kwanza hutakiwi kupanic hapo ndo utapomchezea akili yake kwa muda mrefu kuna mdingi alifumwa na mkewe jinsi anavyojipendekeza sasa wiki ilopita kamnunulia harrier mamsapu wake hiyo yote anajiombesha msamaha maza mwnyw sasa anaoshea watu vyombo km hana akili
Dk tisini utadhani mechi ya mpira ukitoka hapo unayumba km mlevi kwangu akuuuu full burudanihahahahha ndo hyu wa 90min? kha!*****
Maisha mafupi kuishi na sutresiAisee !ndaga mama!
Maisha mafupi kuishi na sutresi
Ukafanyaje bossMume ndio niliyemfumania