MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
Sio kuviziana
Kukitembeza nje mnapendaga wanaume sisi wanawake tunalipizaga tu
we naye ht hujielew!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kuviziana
Kukitembeza nje mnapendaga wanaume sisi wanawake tunalipizaga tu
Doh kweli Bora Yesu Achomoze tuSisi ni kawaida sana kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja,hizo habari za kuwindana,kufumaniana,siyo mpango!
Kama wewewe naye ht hujielew!
Yangekuwa yanaboa usingecomment hapa kwenye uzi wangu
Jinsia nan kakupangia? !we si umesema maisha ya kutofumania yanaboa !yapoyapo!Q
bdw usinipangie JINSIA!
Jinsia nan kakupangia? !
Doh bangi buana
mie nimegundua hv karibun!we live once my dear !take care
Nilikutana nae humuUkafanyaje boss
Yanaponya navyoona maana hasira inaisha'Kila ninapo jua amenisaliti nami hutafuta wa kunipooza'haya ndio maisha niliyo jichagulia,yanapunguza uchungu japo hayaponyi!'
Maza ni boya kweli wala hudanganyi hajui kucheza na fursa na mzee wake anastaafu 2020 lkn maza kalala anafurahia madekoMaza ni boya
Hizi neema ningepataga mie ningezitumia sjui kwanini hazinipati
Mbn ya kawaida tu mkuuSijaamin Hayo Maneno Uliyosema Umedhamiria Kuyasema Au Yamekuponyoka Tuuuu
Hahaa unamaanisha hata nikitaka unanioshea?Kwanza hutakiwi kupanic hapo ndo utapomchezea akili yake kwa muda mrefu kuna mdingi alifumwa na mkewe jinsi anavyojipendekeza sasa wiki ilopita kamnunulia harrier mamsapu wake hiyo yote anajiombesha msamaha maza mwnyw sasa anaoshea watu vyombo km hana akili
Na usubiri vikauke ndo nikupakulieHahaa unamaanisha hata nikitaka unanioshea?
Hahaha ntapanga tu ht ikiwa miaka 2Na usubiri vikauke ndo nikupakulie
Ukiweza panga foleni
Kuoshea vyombo ndo nini mkuu? Hapo umeniacha haki.Kwanza hutakiwi kupanic hapo ndo utapomchezea akili yake kwa muda mrefu kuna mdingi alifumwa na mkewe jinsi anavyojipendekeza sasa wiki ilopita kamnunulia harrier mamsapu wake hiyo yote anajiombesha msamaha maza mwnyw sasa anaoshea watu vyombo km hana akili
Ongeza sifuri mbeleHahaha ntapanga tu ht ikiwa miaka 2
Ni kamsemo kapya tu yaani osha vyombo watu wale huelewi tu bado??Kuoshea vyombo ndo nini mkuu? Hapo umeniacha haki.