Mbona simple anamuambia tu alikuaanafanya utaniWakulungwa..... habari Gani
Huku kimeumana Kuna jamaa yangu ameyatimba Baada ya kumtongoza shemeji ake ( mke wa rafiki yake) na huyo mke wa rafiki yake ametolea uvivu Kwa kumtukana
Jamaa angu amechanganyikiwa hajui la kufanya kama habari zitafika Kwa mwenye Mali ..
Je mshkaji atumie njia Gani ku escape hili Soo..... only legend have to answer this.....
Najua vijana wa hovyo mtasema ni Mimi???
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Imetokea tu labda kwa vile hakuvutiwa naye au jamaa kaingia ovyo tu lakini haina maana kwamba eti ni muadilifu, analiwa kama kawaida tena na wengine ni hao hao rafiki wa mume wake.
Defense mechanism.Imetokea tu labda kwa vile hakuvutiwa naye au jamaa kaingia ovyo tu lakini haina maana kwamba eti ni muadilifu, analiwa kama kawaida tena na wengine ni hao hao rafiki wa mume wake.
Si mwanaume kaumbiwa tamaa kama unavyoamini boss.
Hata UN inapinga adhabu za kifo mkuu[emoji23][emoji23]Mwambie anunue tu kamba ya manila, halafu ajinyonge afe. Maana amefanya kitendo cha kipumbavu sana.
Je unaweza kwepa majaribu yao??Hapana haiwezi kunitokea kamwe, mimi nina akili timamu, najua lipi jema lipi baya na pia mimi sio nyege mkononi.
Hii imekaza poa[emoji23][emoji23]Mbona simple anamuambia tu alikuaanafanya utani
Kwa mwanamke tu mkuuSi mwanaume kaumbiwa tamaa kama unavyoamini boss.
Kabisa ila wakiliwa na kuachana ndiyo husema ili kuvunja urafiki wa mume na ex mchepukoSasa kapanick nini?
Katongoza, katolewa nje, apige kimya maisha yaendelee...
Wanawake huwa wakitongozwa hawasemi kwa waume zao...
Sio Mimi mkuuNenda wahi kwa mwana' kamsagie kunguni
NB; hakikisha unaenda na mafuta ya nazi...haya ni maisha huwezi jua yatakusaidia wakati gn
Daaah kumbe!!Mbona issue ndogo hivyo. Yeye akae kimya, aendelee na masha kama kawaida. Asalamiane na kuendelea na kila kitu as nothing happen. Hakuna haja ya kuomba msamaha wala kuhaingaika huku na huku.
Hii ni kwa sababu.
1. Shemeji hawezi kumwambia mumewe.
2. Mumewe hawezi kujua kwa nanmna yoyote ile.
Maisha yaendeleee.
Mama na dada zako si wanawake? Unawatamani?
Hao ni ndugu.... haiwezekaniMama na dada zako si wanawake? Unawatamani?
wakati anamtongoza alikuwa anajua kuwa hili linaweza kutokea,hivyo alitengeneza contigent plan yake,basi hiyo ndio aitumieWakulungwa..... habari Gani
Huku kimeumana Kuna jamaa yangu ameyatimba Baada ya kumtongoza shemeji ake ( mke wa rafiki yake) na huyo mke wa rafiki yake ametolea uvivu Kwa kumtukana
Jamaa angu amechanganyikiwa hajui la kufanya kama habari zitafika Kwa mwenye Mali ..
Je mshkaji atumie njia Gani ku escape hili Soo..... only legend have to answer this.....
Najua vijana wa hovyo mtasema ni Mimi???
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mwache akudanganye. Kumbe huwajui vizuri wanawake[emoji23][emoji23]