Je, utajuaje kama una-date na demu wa mtu ukidhani ni wa kwako?

Naomba unitag kwemye habari ya mad max kwanza
 
Nowadays hakuna mwanamke au Mwanaume wa peke yako labda walio kuwa mortuary tu. Fanya yako na uendelee kufurahia Maisha yako hapa duniani
 
🎤🎤Lishangazi hilo lishangazi hilo nikimuona moyo unadunda tenaa🎤🎤

Bomboooclaaaaaat!!! 🎼😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…