Kutokuheshimu katiba,
Kutokuheshimu sheria,
Ubabe,
Uonevu,
Kutokufuata mazuri yaliyoanzishwa na watangulizi,
Kujifanya anajua kila kitu.

Vyama vya Upinzani vipo kikatiba,vinaruhusiwa kufanya Shughuli za kisiasa kikatiba.
Suala la kudai katiba mpya sio la C hadema,Ni la Watanzania wote,wakiwemo wa dini zote,vyama vyote,wanaCCM,wakulima,wafanyakazi,wafanyabiashara,wanafunzi,vikundi mbalimbali na watu wenye mahitaji maalumu.
Chadema wanadai wao kama wao,na wengine hawajakatazwa kudai katiba nzuri.
Katiba mpya ikija,wote tutafaidi wanaoitaka na wale "wanaojifanya kuikataa".
Yule bwana hakuheshimu chochote,hakuheshimu viongozi waliomtangulia Wala viongozi wa dini.
Alijiona Yuko juu ya kila kitu.
Hakua na hoja zenye nguvu,Bali alikua na hoja za mabavu.
Legasi aliyotuachia Ni mabavu katika kila kitu.
Nchi haitawaliwi kwa mabavu nchi inatawaliwa kwa kufuata katiba Bora na busara.
Kuna msururu wa watawala wababe Sana duniani Leo hii hawapo madarakani,wengine wapo magerezani na wengine makaburini Dunia wameiacha,mabavu ya Nini?
Hamjifunzi tu?
Kwa Nini msiache upendo mkakumbukwa kwa mema milele?
 
Magufuli ameacha legasi ya kutetea masikini na wanyonge. Amefariki hata miezi sita haijaisha masikini na wanyonge wameanza kuonewa. Tunammisi sana.
 
Magufuli ameacha legasi ya kushughulikia vema UVIKO-19, kuijenga nchi, miradi mikubwa ya kimkakati, kurudisha uongozi bora na utendaji bora kwa ofisi za umma, kuwashughilikia mabeberu, n.k.
 
Magufuli ameacha legasi ya Tanzania kujitegemea hata kuwa na uwezo wa kusaidia wengine. Hakuna sehemu Magufuli hakuacha legasi nzuri.
 
Samahani unamwambia nani?
Nimeipenda
Mama Samia tunakupenda na tulikupenda, kwa hili sio kabisa wapambe sio watu kabisa, mama weka jina lako la upendo wa nchi yetu Tanzania achana na wapambe wa sukuma gang man.
 
Hata hivyo wapigaji, vibaraka wa mabeberu na wote wasiyoitakia mema nchi yetu hawapendi kusikia habari hizi njema, maana alikuwa adui wao namba moja. Haishangazi.
 
Leo ni siku ya kuandamana brother ,Tena barabarani Kama lissu alivyoagiza akitwit kutokea ubeligiji Sasa wewe ndugu yangu unaandamana tu humu jf wakati upo Tz😃
Come on guys twenzetu tukaandamane nyie nyumbu
 
Pamoja na ukatili wake kukosa ubinadamu na upendo kwa wengine still maono yake hayatafutika.

Najua walio Wengi we Miss this dude


GONGA Like za kutosha kama wewe ni moja wapo uliyechukizwa na ubabe wake but still you miss this DUDE

Tupia picha yoyote kwa ukumbusho wake.

Bado anaupiga mwingi hapa tumepigwa😪😪
 
Mimi namiss sana ule UNDAVA wake na kumaliza issue zake PAPO KWA PAPO..
Napenda sana ile style yake ya kitengo ndani ya kitengo, polisi ndani ya polisi hapo ilifanya kila kiongozi na kila mtu kujiona hayuko salama..
Tatu watu kuiogopa dola na sio dola kuogopa watu..
 
I miss him jamani😥😥😥😥😥

Mwamba, Shujaa, Rais wa karne

Endelea kulala salama Baba💔🕊🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…