Waombee nduguzo waliotangulia, ambao walijitoa kwa hali na mali ili kijana wao uende shule lakini ulikataa kusoma..Daima Nitamkumbuka Rais Wa Wanyonge Magufuri. Hakika ulitupigania Baba.
Pumzika kwa Amani.
Gwajiboy anao uwezo huo wa kumfufua ila anaogopa atanyamazishwa....anajua hataweza kuleta fujo anazoleta hivi sasaMmetuchosha mno na maneno yenu ya kila siku. Nendeni basi mkamfufue co kulalamika au mwambieni Gwajima wenu amfufue kama uwezo huo anao.
Nakuunga mkono mkuuHuyu mtu hata iweje sitokaa nimkumbuke. Sijui ni kwanini?
KabisaWaombee nduguzo waliotangulia, ambao walijitoa kwa hali na mali ili kijana wao uende shule lakini ulikataa kusoma..
Nalo li mbohe litafia jela kwa kiffillo.Hamfikii jiwe, ndiyo maana kafa kibudu
Anawekwa executive rooms yule kuna kila kitu kama home siyo kama anapowekwa babako. Na magazeti anasoma, saloon anaenda pia.
Gaidi? Yule ni kiffillo tu kwa kwenda mbele.Anawekwa executive rooms yule kuna kila kitu kama home. Na magazeti anasoma, saloon anaenda pia.
Nop!
Eti gwajiboy 🤣🤣🤣 bado tu mnaamini ya ufufuo? Amewalipeni mumpromote nini mzee 🤣🤣 endeleeni tu kumchangia hela za v8 na manyumba ya kifahari wakati hapo kwako unakula mihogo na chachanduGwajiboy anao uwezo huo wa kumfufua ila anaogopa atanyamazishwa....anajua hataweza kuleta fujo anazoleta hivi sasa
Tangulia basiNendeni kaburi kwake mkamuombe msamaha
Mty mwenye akili zake na anayemiliki mke anayejitambua hawezi kuongea ungese kama wako pimbi wewe
Lazima nimkumbuke kwa kunifanya niishi kama shetani....halafu niliishi kwa kujificha ficha kwa miaka mitano +Mkuu sio wewe tu ,tupo wengi Sanalazima nimkumbuke kwa kut
Yameisha aise kama mimi mke wangu mwaka huu kapandishwa daraja mshahara uneongezeka yule kenge alikuwa anawatesa sana watumishi wa umma.Kwahiyo sasa hivi mateso yamekwisha?unafiki tu ndiyo mliobarikiwa watz
Kwann usiseme amekutesa wewe, usituzungumzie(watu)
Unatokwa na povu bure tu ila haiondoi ukweli kuwa magufuli alikuwa zaidi ya shetani na atakuwa anaungua moto mkali sana huko aliko sasa hivi maana ameua watanzania wengi na kuwafunga magerezani wengi sana kwa kuwaonea.Hamna shukrani mlizoea maisha ya kubembelezwa kishogashoga hata hao marais wengine maneno yenu yalikuwa ni hayahaya hata mbowe ni magufuli ndito kamuweka ndani.
Wizara ngapi alizinyoosha kabla ya kuwa rais na mkamkubali kwa style hiyohiyo.
Kuishi na mtanzania ni bora ya kuishi na kobra ndani ni wanafiki sana hawavumiliki utafikiri jibu la utosini
Wewe ndio shoga unayewaza ushoga mjinga na mpumbavu wewe si umfuate huko huko aliko kilaza mkubwa weweNa husitahili kumkumbuka kwani tabia zako za kishenzi za ushoga na undumila kuwili alikudhibiti kabisaaaa
Pole Sana mkuu, mshukulu mungu KWa KILA Jambo,Lazima nimkumbuke kwa kunifanya niishi kama shetani....halafu niliishi kwa kujificha ficha kwa miaka mitano +