Mmetuchosha mno na maneno yenu ya kila siku. Nendeni basi mkamfufue co kulalamika au mwambieni Gwajima wenu amfufue kama uwezo huo anao.
Gwajiboy anao uwezo huo wa kumfufua ila anaogopa atanyamazishwa....anajua hataweza kuleta fujo anazoleta hivi sasa
 
Gwajiboy anao uwezo huo wa kumfufua ila anaogopa atanyamazishwa....anajua hataweza kuleta fujo anazoleta hivi sasa
Eti gwajiboy 🤣🤣🤣 bado tu mnaamini ya ufufuo? Amewalipeni mumpromote nini mzee 🤣🤣 endeleeni tu kumchangia hela za v8 na manyumba ya kifahari wakati hapo kwako unakula mihogo na chachandu
 
Pimbi babaako na mamaako ZWAZWA wewe!!! Unitusi halafu utegemee ninyamaze kimya pimbi wewe!!! Tukana wengine siyo mimi dunya wewe!!!
Mty mwenye akili zake na anayemiliki mke anayejitambua hawezi kuongea ungese kama wako pimbi wewe
 
Kwahiyo sasa hivi mateso yamekwisha?unafiki tu ndiyo mliobarikiwa watz
Yameisha aise kama mimi mke wangu mwaka huu kapandishwa daraja mshahara uneongezeka yule kenge alikuwa anawatesa sana watumishi wa umma.
 
Unatokwa na povu bure tu ila haiondoi ukweli kuwa magufuli alikuwa zaidi ya shetani na atakuwa anaungua moto mkali sana huko aliko sasa hivi maana ameua watanzania wengi na kuwafunga magerezani wengi sana kwa kuwaonea.
 
Na husitahili kumkumbuka kwani tabia zako za kishenzi za ushoga na undumila kuwili alikudhibiti kabisaaaa
Wewe ndio shoga unayewaza ushoga mjinga na mpumbavu wewe si umfuate huko huko aliko kilaza mkubwa wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…