Kinana naye zamu yake ya kufunguka inakujia. Atatuelezea alivyominywa na kuzuiwa asitoke kwake na baadaye Jiwe kutudanganya 'amemtuma' kutibiwa india.Mie kinachonifurahisha ni jinsi alivyowatuliza wale walijikuta keki ya taifa ndio haki yao..wanavyolialia mmoja baada ya mwingine kila siku inanipa a high of its kind...dj walete waletee tena
Alisema amejiSACRIFICE kwaajili yetu wanyongeAlipokuwa ziarani Kagera kuna mwanamama alikuwa anamjibu Jiwe kwa kujiamini. Jiwe akamuambia usinijubu hivyo na jioni yake akamfukyza kazi.
We semenya wa ukaldayo fanya kazi.Inakuwaje wanaJF!
Kuna siku akiwa ziarani Kanda ya ziwa wananchi waliusimamisha msafara wake na kumueleza shida na kero zao. Wengine walisikika wakimlilia baba tuna njaa babaa tusaidie njaa inatuua. Jiwe akawa jibu mnataka nije huko makwenu niwapikie? fanyeni kazi! Nikikumbukaga iyo kauli huwa nachekaga sana.
Mwana licha ya kuwa katili sometimes alikuwaga na sense of humor.
Pumzika mwana!
Alikuwa ni Mkurugenzi Mtendaji wa Bukoba DCAlipokuwa ziarani Kagera kuna mwanamama alikuwa anamjibu Jiwe kwa kujiamini. Jiwe akamuambia usinijubu hivyo na jioni yake akamfukyza kazi.
Myebusi inakuwaje Aisee Dogo. Niko nimetulia humu kwenye kababy walker changu Toyota prius nikivizia shift ya tano kwenda kudeliver msosi.We semenya wa ukaldayo fanya kazi.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji23][emoji23]Kuna njemba stand ya mbezi ilidai gharama za choo ziko juu akaambiwa abane mbolea yake mpaka nyumbani
Inakuwaje wanaJF!
Kuna siku akiwa ziarani Kanda ya ziwa wananchi waliusimamisha msafara wake na kumueleza shida na kero zao. Wengine walisikika wakimlilia baba tuna njaa babaa tusaidie njaa inatuua. Jiwe akawa jibu mnataka nije huko makwenu niwapikie? Fanyeni kazi! Nikikumbukaga hiyo kauli huwa nachekaga sana.
Mwana licha ya kuwa katili sometimes alikuwaga na sense of humor.
Pumzika mwana!
Inakuwaje wanaJF!
Kuna siku akiwa ziarani Kanda ya ziwa wananchi waliusimamisha msafara wake na kumueleza shida na kero zao. Wengine walisikika wakimlilia baba tuna njaa babaa tusaidie njaa inatuua. Jiwe akawa jibu mnataka nije huko makwenu niwapikie? Fanyeni kazi! Nikikumbukaga hiyo kauli huwa nachekaga sana.
Mwana licha ya kuwa katili sometimes alikuwaga na sense of humor.
Pumzika mwana!
Inakuwaje wanaJF!
Kuna siku akiwa ziarani Kanda ya ziwa wananchi waliusimamisha msafara wake na kumueleza shida na kero zao. Wengine walisikika wakimlilia baba tuna njaa babaa tusaidie njaa inatuua. Jiwe akawa jibu mnataka nije huko makwenu niwapikie? Fanyeni kazi! Nikikumbukaga hiyo kauli huwa nachekaga sana.
Mwana licha ya kuwa katili sometimes alikuwaga na sense of humor.
Pumzika mwana!
Alivyowasambaratisha akina "unanijua Mimi ni nani?"Pumzika kwa amani baba, ila utuombee kwani wamesharudi tena !
Alisema amejiSACRIFICE kwaajili yetu wanyonge
Usinijibu hivyo wewe Mama..Alipokuwa ziarani Kagera kuna mwanamama alikuwa anamjibu Jiwe kwa kujiamini. Jiwe akamuambia usinijubu hivyo na jioni yake akamfukyza kazi.
No no big no.Alisema amejiSACRIFICE kwaajili yetu wanyonge
Ww utakua wale wapigaji.Nilikuwa simpendi dikteta Ila tumuache apumzikee mwendo kashaumaliza.
Kupambana na marehemu ni udhaifu.
Kuna waliomlelekea mabango ya kero zao, akawaambia wayatandike walalie na wake zao.