Hii umejiongeza " kudhani kwamba alisema hatokufa"Ndio mama yake ni marehem mtarajiwa na wote lakini afanani kama Jiwe ambaye alidhan ataishi milele kwa kuua watu, kuonea na dulma.
Magonjwa Mtambuka
Wamerudi kwa hasira!!?Alivyowasambaratisha akina "unanijua Mimi ni nani?"Pumzika kwa amani baba, ila utuombee kwani wamesharudi tena !
Wahalifu huwa hawajifichi!!?Na Juu Ya Kaburi Lake Wanye Mavi
Alisema nyonyo moja la sidiria linatosha kushona barakoa.Aisee Mwendazake alikuwa na majibu ya vijiweni mno utazani sio mkuu wa nchi!
Hebu cheki haya majibu ya kutatanisha:
1.Wakati akiwa Tanga kuzindua ujenzi wa bomba la mafuta 2018, watumishi na kama sikosei walimu walimuandikia bango la shuka wakiomba nyongeza ya mishahara, waliambiwa hilo shuka kamtandikie mke wako! Mtumishi anayeona kazi ya serikali hailipi aache kazi akalime!
2.Akiwa katika mkutao wa kampeni wa kusaka mitano tena aliyoitumikia kwa miezi 3, Mama mmoja aliyekuwa a kero za muda mrefu alijitokeza kutaka kuomba msaada kwa Rais, kabla Mwanamama hajaongea chochote akaambiwa wewe mama ondoka hapa usinivurugie mkutano wangu, hayo matatizo yako kamueleze mume wako si unae!?....
Huyu unayemuita prince ni nani?Pia Prince naye atafunguka tu alivyoenda magogoni kung'ang'ania kuonana na Rais akazuiwa getini
hahahahhaKuna njemba stand ya mbezi ilidai gharama za choo ziko juu akaambiwa abane mbolea yake mpaka nyumbani
Jamaa anajiita trump ila anataka akaachie mbolea kwenye jengo la B40 for free..jibu alilopewa lilimstahili kabisa!Kuna njemba stand ya mbezi ilidai gharama za choo ziko juu akaambiwa abane mbolea yake mpaka nyumbani
Wahalifu huwa hawajifichi!!?
kama huyu
RidhwanHuyu unayemuita prince ni nani?
Kazi gani alikuwa anafanya uyo mwanamke aliekuwa anamjibu jiwe kwa kujiaminiAlipokuwa ziarani Kagera kuna mwanamama alikuwa anamjibu Jiwe kwa kujiamini. Jiwe akamuambia usinijubu hivyo na jioni yake akamfukyza kazi.
Prince ni nani?Kinana naye zamu yake ya kufungua inakujia. Atatuelezea alivyominywa na kuzuiwa asitoke kwake na baadaye Jiwe kutudanganya 'amemtuma' kutibiwa india.
Pia Prince naye atafunguka tu alivyoenda magogoni kung'ang'ania kuonana na Rais akazuiwa getini.
Ridhwan
Ile hukubaliwa na wanaume wa shoka, unfortunately, too many bitches nowdays.Yule Mwamba ndio ulikuwa unaona tafsiri sahihi ya kiongozi wa Dola, No kuyumbishwa na pumbavu hizi...
Anawatingisha na kuwachekecha halafu machuma yanawashwa mapumzikoni Chato via ziarani vijiji vyote vya njiani humo....machuma yakianza kurudi tu kutoka Chato watu wanakaa sawa wanajua Mwanamume anarudi sasa.... Ile ndio ilikuwa Dola....no fyoko fyoko.....
Sasahivi filimbi na miruzi imeanza kila kona kila mtu amekuwa kambale..