Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Jeshi la mtu mmoja, mwamba kutoka Chato, Nzilakende, Jiwe, Chuma, Kamanda nk...

Muite vyovyote upendavyo lakini kuna mahala lazima umkubali tu alitufaa...

Naona vikao vya bodi vimeanza tena kwenye mahoteli na mikoa tofauti tofauti, soon vitaanza kwenda kufanyika Dubai...na akina Sepenga waanze kutusumbua tena mijini.... Warsha, Semina zimeanza tena kwenye mahoteli wazee wakusaini posho kama kawa kilingeni..
 
Aisee Mwendazake alikuwa na majibu ya vijiweni mno utadhani sio mkuu wa nchi!
Hebu cheki haya majibu ya kutatanisha:
1.Wakati akiwa Tanga kuzindua ujenzi wa bomba la mafuta 2018, watumishi na kama sikosei walimu walimuandikia bango la shuka wakiomba nyongeza ya mishahara, waliambiwa hilo shuka kamtandikie mke wako! Mtumishi anayeona kazi ya serikali hailipi aache kazi akalime!

2.Akiwa katika mkutao wa kampeni wa kusaka mitano tena aliyoitumikia kwa miezi 3, Mama mmoja aliyekuwa a kero za muda mrefu alijitokeza kutaka kuomba msaada kwa Rais, kabla Mwanamama hajaongea chochote akaambiwa wewe mama ondoka hapa usinivurugie mkutano wangu, hayo matatizo yako kamueleze mume wako si unae!?....
 
Yule Mwamba ndio ulikuwa unaona tafsiri sahihi ya kiongozi wa Dola, No kuyumbishwa na pumbavu hizi...

Anawatingisha na kuwachekecha halafu machuma yanawashwa mapumzikoni Chato via ziarani vijiji vyote vya njiani humo....machuma yakianza kurudi tu kutoka Chato watu wanakaa sawa wanajua Mwanamume anarudi sasa.... Ile ndio ilikuwa Dola....no fyoko fyoko.....

Sasahivi filimbi na miruzi imeanza kila kona kila mtu amekuwa kambale..
 
Aisee Mwendazake alikuwa na majibu ya vijiweni mno utazani sio mkuu wa nchi!
Hebu cheki haya majibu ya kutatanisha:
1.Wakati akiwa Tanga kuzindua ujenzi wa bomba la mafuta 2018, watumishi na kama sikosei walimu walimuandikia bango la shuka wakiomba nyongeza ya mishahara, waliambiwa hilo shuka kamtandikie mke wako! Mtumishi anayeona kazi ya serikali hailipi aache kazi akalime!
2.Akiwa katika mkutao wa kampeni wa kusaka mitano tena aliyoitumikia kwa miezi 3, Mama mmoja aliyekuwa a kero za muda mrefu alijitokeza kutaka kuomba msaada kwa Rais, kabla Mwanamama hajaongea chochote akaambiwa wewe mama ondoka hapa usinivurugie mkutano wangu, hayo matatizo yako kamueleze mume wako si unae!?....
Alisema nyonyo moja la sidiria linatosha kushona barakoa.
 
Sadist utamjua tu kwa comment zake, tujali utu wa mtu sio kwa kuwa una madaraka basi ufanye unavyojisikia.
 
Alipokuwa ziarani Kagera kuna mwanamama alikuwa anamjibu Jiwe kwa kujiamini. Jiwe akamuambia usinijubu hivyo na jioni yake akamfukyza kazi.
Kazi gani alikuwa anafanya uyo mwanamke aliekuwa anamjibu jiwe kwa kujiamini
 
Kinana naye zamu yake ya kufungua inakujia. Atatuelezea alivyominywa na kuzuiwa asitoke kwake na baadaye Jiwe kutudanganya 'amemtuma' kutibiwa india.

Pia Prince naye atafunguka tu alivyoenda magogoni kung'ang'ania kuonana na Rais akazuiwa getini.
Prince ni nani?
 
Yule Mwamba ndio ulikuwa unaona tafsiri sahihi ya kiongozi wa Dola, No kuyumbishwa na pumbavu hizi...

Anawatingisha na kuwachekecha halafu machuma yanawashwa mapumzikoni Chato via ziarani vijiji vyote vya njiani humo....machuma yakianza kurudi tu kutoka Chato watu wanakaa sawa wanajua Mwanamume anarudi sasa.... Ile ndio ilikuwa Dola....no fyoko fyoko.....

Sasahivi filimbi na miruzi imeanza kila kona kila mtu amekuwa kambale..
Ile hukubaliwa na wanaume wa shoka, unfortunately, too many bitches nowdays.
 
Kuna siku alikuwa akihutubia hapa Dar akawa ana wauliza wananchi ' nimtumbue au nisimtumbue'? Daaah R.i. p yule Mkurugenzi!
 
Back
Top Bottom