Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Hlaiwezi kukushinda wewe,maana unafanana na Monster kuanzia muonekano hadi roho yakoJitu la hovyo kuwahi kutokea[emoji35][emoji35][emoji35]
Sisi matajiri alitunyanyasa sana, tatizo la huyu wa saivi washauri wake wanamuharibia hivyo nyie mnaumiaSisi wanyonge hasa machinga tunamkumbuka Kwa wema. Tatizo nyie matajiri na wapiga dili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizi stress za maisha zitakupeleka pabaya Mkuu,nini mbaya,School fees ya watoto inasumbua?
Namna ya kuishi kwa kuheshimu sheria katiba na kila mmoja, mkubwa na mdogoBaada ya kuyakumbuka,yameleta unafuu gani kwa nafsi yako?
Huyo wa kulia na miwani, ni ndugu yake LEMUTUZ nini?
Mzimu wa JPM utawatesa sanaa na mtapata madonda ya moyo.Alipokufa mlifanya sherehe mkazani ndo mmemaliza kazi kumbe ndo kwaaza jamaa ndo anaongeza wafuasi kila siku.anakumbukwa na wote wapenda haki na wanamlilia sanaaa.umsamehe au usimsamehe yeye kashamaliza mwendo karudi kwa Muumba yeye ndo final say aende peponi au motoni wengine siyeee na wapiga domo tu na roho mbayaJPM ndiye chanzo (source) cha kila baya linaloendelea hapa nchini hivi sasa....tozo, mikopo, vitu kupanda bei, kuparaganyika kwa demokrasia, umeme kukatika hovyo, n.k.
TOZO
Mama kakuta nchi inaendeshwa kwa kupora fedha za wafanyabiashara. Ulitaka mama afanyeje sasa? Aendeleze uporaji? Ndiyo maana kaanzisha tozo. JPM alaumiwe na alaniwe.
MIKOPO
Mama analazimika kukopa sana ili aweze kulipa riba kubwa za mikopo ya biashara ambayo JPM aliichukuwa.
KUPARAGANYIKA KWA DEMOKRASIA
JPM ndiye muasisi wa uporaji wa haki za watu ktk chaguzi. Aliharibu uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na akaharibu pia uchaguzi mkuu wa 2020 na wala hakushinda.
Pia ALIZIMA INTERNET kipindi cha uchaguzi mkuu. Jambo hili ni la kihuni na kidikteta na hatukuwahi kuwa na ujinga huu huko nyuma.
Kwa haya na mengine mengi KAMWE SIWEZI KUMSAMEHE JPM.
"He must be punished multiple times where he is now"
Siyo wewe tu tuko wengi, hata hii Hali mbaya ya kiuchumi tuliyo nayo leo, yeye ndo kasababisha, alafu jumbs bovu wanamwangushia mama yetu samaiaJPM ndiye chanzo (source) cha kila baya linaloendelea hapa nchini hivi sasa....tozo, mikopo, vitu kupanda bei, kuparaganyika kwa demokrasia, umeme kukatika hovyo, n.k.
TOZO
Mama kakuta nchi inaendeshwa kwa kupora fedha za wafanyabiashara. Ulitaka mama afanyeje sasa? Aendeleze uporaji? Ndiyo maana kaanzisha tozo. JPM alaumiwe na alaniwe.
MIKOPO
Mama analazimika kukopa sana ili aweze kulipa riba kubwa za mikopo ya biashara ambayo JPM aliichukuwa.
KUPARAGANYIKA KWA DEMOKRASIA
JPM ndiye muasisi wa uporaji wa haki za watu ktk chaguzi. Aliharibu uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na akaharibu pia uchaguzi mkuu wa 2020 na wala hakushinda.
Pia ALIZIMA INTERNET kipindi cha uchaguzi mkuu. Jambo hili ni la kihuni na kidikteta na hatukuwahi kuwa na ujinga huu huko nyuma.
Kwa haya na mengine mengi KAMWE SIWEZI KUMSAMEHE JPM.
"He must be punished multiple times where he is now"
Mbona hapo ulipo unawanyanyasa walioko chini yako ofisini,full mikwara wakikuona wanatetemeka,au ndiyo yale ya Nyani haoni......Namna ya kuishi kwa kuheshimu sheria katiba na kila mmoja, mkubwa na mdogo
Sio wewe tu mkuu
This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.
Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi...
Mkuu wahurumie tu,ni stress za January,Shool fees za watoto zinasumbua,mtu anaamua kuja kutapika nyongo kwa Marehemu.Mzimu wa JPM utawatesa sanaa na mtapata madonda ya moyo.Alipokufa mlifanya sherehe mkazani ndo mmemaliza kazi kumbe ndo kwaaza jamaa ndo anaongeza wafuasi kila siku.anakumbukwa na wote wapenda haki na wanamlilia sanaaa.umsamehe au usimsamehe yeye kashamaliza mwendo karudi kwa Muumba yeye ndo final say aende peponi au motoni wengine siyeee na wapiga domo tu na roho mbaya
Nenda kakope ada za watoto kwenye Micro Finance haraka,utakuwa sawa Mkuu,stress zitakwisha😂😂Siyo wewe tu tuko wengi, hata hii Hali mbaya ya kiuchumi tuliyo nayo leo, yeye ndo kasababisha, alafu jumbs bovu wanamwangushia mama yetu samaia
Hata masoko kuungua siyoJPM ndiye chanzo (source) cha kila baya linaloendelea hapa nchini hivi sasa....tozo, mikopo, vitu kupanda bei, kuparaganyika kwa demokrasia, umeme kukatika hovyo, n.k...
Binadamu tunaishi kwa kujifunza makosa ya liyofanya na wengine na kujirekebisha, siko hivyo na nafasi hiyo sinayo.Mbona hapo ulipo unawanyanyasa walioko chini yako ofisini,full mikwara wakikuona wanatetemeka,au ndiyo yale ya Nyani haoni......
Menyewe unajiita maskini/mnyonge hao walokunyonya Nini🤔?Hao Matajiri aliokuwa akiwapora pesa walikuwa wanatunyonya sisi wanyonge michezo yote JPM alikua anaijua ndio maana alivyoingia madarakani akaanza kudeal nao
Ninamkumbuka magufuli kwa mambo mengi tu mazuri na mabaya lakini nafikiri kila cku hata ufanye mazuri
This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.
Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa...
Usiwe mnafiki magufuli kafanya ushenzi maraisi wote waliomtangulia hawakudiriki kufanya la mwisho ni kuharibu kabisa uchaguzi wa 2020,na kusababisha vifo vya mamia ya wananchi mpaka ikapelekea mungu kukubali dua za wananchi waliodhulumiwa haki zao na kumuondosha mapema ili asije kusababisha madhara zaidi kama walikusudia yeye na makundi yake ya utekaji na kudhulumu sasa afadhali kidogo tunaona mwanga kidogo.He is My sons's legacy
Ametusaidia Mambo mengi.
JPM kafanya mengi makubwa kuliko Rais yeyote aliwewahi pita nakosa la kuandika kabisa vidole vinatetemeka, Nimelia Mimi leo
Naogopa nchi yetu inarudi shimoni
MUNGU TUANGALIE TENA WAJA WAKO