Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Mkuu bora umetua mzigo wa fundo moyoni!

Si hayo tu kuna mengi ukiyafikiria kwakweli unapata shida ya uchungu mkubwa!

Wapo watu walijinyonga sababu ya ugumu wa maisha huku watu wake kama akina Makonda, Sabaya na Sukuma gang wote wakineemeka!

Watumishi na familia zao walipata taabu kubwa na wengi walijukuta wanarudi nyuma kwa kuuza nyumba au viwanja, vinginevyo uhamishe mtoto toka private umpeleke shule ya kata!

Tuzidi kuomba na kuombea taifa letu tusijejikuta tena mikononi mwa rais wa aina ile hadi kila mtu anaiona dunia chungu!

Yote kwa yote , Tunamshukuru Mungu kwa yote, Lakini tumsamehe bure Mwendazake, Tuseme yote ni mipango na makusudi ya Mungu!
 
Mtakubaliana na mimi kwamba, wakati wa JPM ajali za barabarani zilipungua mno, lakini kwa sasa hali si shwari. Karibu kila siku na kila kona hatukosi kusikia ajali.
Kwa nini hali imekuwa hivi?
Hujui lolote.
 
Mtakubaliana na mimi kwamba, wakati wa JPM ajali za barabarani zilipungua mno, lakini kwa sasa hali si shwari. Karibu kila siku na kila kona hatukosi kusikia ajali.
Kwa nini hali imekuwa hivi?
Traffic zakufutia viatu wanazikazia kuliko kufuata sheria
 
Mtakubaliana na mimi kwamba, wakati wa JPM ajali za barabarani zilipungua mno, lakini kwa sasa hali si shwari. Karibu kila siku na kila kona hatukosi kusikia ajali.
Kwa nini hali imekuwa hivi?
Ni kxeli! JPM alikuwa ni mcha Mungu
 
Mtakubaliana na mimi kwamba, wakati wa JPM ajali za barabarani zilipungua mno, lakini kwa sasa hali si shwari. Karibu kila siku na kila kona hatukosi kusikia ajali.
Kwa nini hali imekuwa hivi?
Wacha ujinga mwamba! Wakati wa jiwe ajali zilikuwa nyingi lakini zilikuwa hazitangazwi!
 
ni kweli kbisa kuna tofauyi kubwa sana, safari ya kwenda moshi iliyokuwa mtu unafika saa 11 kipindi cha JPM ,sahivi saa 9 upo nyumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raisi Samia aliwakataza polisi wasipige faini au wapunguze faini kwa wavunjao sheria, matokeo yake ndo hayo.
 
Ajali zilipungua/kuacha kutangazwa.
Ajali gani haikutangazwa?

Ajali sio chupi kwamba uwe umevaa ama haujavaa hakuna anaejua. Kwamba ajali itokee basi limeanguka likaua watu na bado isitangazwe?

Jaribuni ku argue kwa kutumia akili kidogo mlizonazo.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Back
Top Bottom