... kuna chama limeanzishwa eti linatumia picha ya yule marehemu! Vichekesho kweli kweli; hata ya "Mwenye Heri" haikuwahi kutumika sembuse ya yule! Kwa matumizi ya picha la yule dhalimu tayari wamefeli kabla hawajaanza.
Huenda wanaunga mkono itikadi zake.
 
Tunajua kazi yako ni kubebea watu vibegi na simu huku ukiwasifia, ukikaa mezani kulinda vibia vyao,,hata wakijampa wewe watoa kisauti hiyo ni sawa boss,
Sasa baada ya magufuli hizo kazi ziliisha ndo maana mnazitaka tena kwa kasi ya ajabu.
 
Huyo bibi yenu kaenda Marekani kupiga umbea wiki nzima. Oneni aibu wananchi wanahitaji utatuzi wa shida zao.
 
Subiri upepo utakapovuma ndio utatamani kufuta hii comment yako.
... kuna chama limeanzishwa eti linatumia picha ya yule marehemu! Vichekesho kweli kweli; hata ya "Mwenye Heri" haikuwahi kutumika sembuse ya yule! Kwa matumizi ya picha la yule dhalimu tayari wamefeli kabla hawajaanza.
 
Mkuu umeua kabisa,

angekuwa anajielewa kwanza angetafuta majibu kwa nini watu tunataka kurudi huko kwenye hayo yote aliyoyataja kabla ya kuanza kulia lia hapa!!

Wewe nani mnataka kurudi, wasukuma mna matatizo makubwa sana,,

Nendeni mkalale pembeni ya kaburi lake
 
Maisha ni kutesana kwa zamu kipindi cha mwenda zake nilisota for three years bila ajira ila mungu sio athumani ajira zimetoka nao na nineona nuru kwa hyo usifosi watu wafanane #kila mtu ashinde mechi zake # maendeleo hayana chama

Achana na wasukuma walizoea vya mteremko keki ya Taifa yote si walikuwa wanakula wao! Lazima watafute mtu mwingine na hawatakaa wampate, eti Umoja Party mweee, haya bana!!


CCM itakuwa madarakani miaka zaidi ya 50 au 100 kwa sasa, sahauni kuhusu mtu wenu,
 
Subiri upepo utakapovuma ndio utatamani kufuta hii comment yako.

Chama cha Kikabila hicho, chama cha wasukuma ndo maana mmemweka msukuma mwenzenu kuzidi kudhihirisha ukabila wenu!!

CCM chama kubwa hamuwezi kuitingisha, subirini mpaka 2125, ndo angalau mjitokeze,

Hata kwenye usajili mkipita mshukuruni Mungu!!
 
Mtu hayupo hai lakini bado ana nguvu kuliko walio hai. Sababu si nyingine yoyote zaidi ya kwamba kama kiongozi aliyaishi maisha ya utumishi na kazi yake imeandikwa mioyoni mwa watu. Kama vipi na watuue na sisi basi tuone kama watatumaliza.

Nguvu ipi aliyo nayo zaidi watu kukumbuka maovu yake, hata hitler hakutoka midomoni mwa watu mpaka leo kwa sababu ya uovu wake,

Unafikiri Idd Amini haongelewi, anaongelewa sana kwa sababu alikuwa kiongozi mzuri au?
 
Ndiyo Demokrasia yenyewe.

Ukitazama ITV hata leo jioni ya 12:15 baada ya Jiji Letu,kuna watu wanatafuta ndugu zao waliopotea.
 
Nguvu ipi aliyo nayo zaidi watu kukumbuka maovu yake, hata hitler hakutoka midomoni mwa watu mpaka leo kwa sababu ya uovu wake,

Unafikiri Idd Amini haongelewi, anaongelewa sana kwa sababu alikuwa kiongozi mzuri au?
Kwa wapiga dili na waovu ovu mbona watamchukia milele. But the man hakuwa pale kumfurahisha mtu, alikuwa pale kufanya kazi yake kwa ukamilifu. Kama wapo waliumizwa kupitia utendaji wake na kama wapo waliofurahishwa hayo ni matokeo ya utendaji. La msingi ni kwamba maisha yake mafupi yalitanabaishwa na matokeo yaliyoacha alama. Na legacy yake kubwa ni spirit aliyotuachia. Mnapambana na nguvu kubwa na hamtashinda.
 
Ukiachana na mapungufu mengi kubwali likiwa la kuto taka kukosolewa kuliko pelekea kuongoza kwa mkono wa Chuma bado Magu alikuwa anawajali wananchi, nima uhakika angekuwepo hizi bei zisingepanda kihivyo, Magu alikuwa hapendi kuoma watu wakilalamika ni toafuti na huyu wa sasa ambaye yeye ndo kwanza anaponda raha huku watu wanaumia sana na bei za vitu.
Mbaya zaidi hata Waziri wake Mkuu anashangaa kwa nimi vitu vinapanda bei.

Haiwezekani Gharama za maisja zinapanda na hakuna solution ya muda mfupi na ndo kwanza Raisi ana stay two week Marekani huku raia wakiumia na mbaya sana anatumia pesa za hao wanao umia huku.
 
... ukatili, dharau, majivuno, kujisikia, kujiinua, kujitukuza, kiburi, majivuno, kebehi, ngebe, kujisifu, visasi, n.k. ukishakuwa nayo hayo yanaondoa sifa zote njema binadamu anazotakiwa kuwa nazo; in fact hayo hayachangamani na sifa njema kamwe! Elewa!
 
Ni hatari amekwenda na genge la watu Mia 222 Dubai alikwenda na genge la watu 150 !Fanya hesabu kila mtu Kwa siku anakula tshs 50000
 
Watakuja kukupinga wanonunua mafuta Lita moja kwa elfu tano.

Ila kwa kweli japokua sikumkubali kwa mengi kubwa ikiwa chuki kwa walompinga, Ila kwa upande wa kujali raia magufuli alikua kiongozi.
 
No way unaweza pinga fact kwa majungu
 
Watakuja kukupinga wanonunua mafuta Lita moja kwa elfu tano.

Ila kwa kweli japokua sikumkubali kwa mengi kubwa ikiwa chuki kwa walompinga, Ila kwa upande wa kujali raia magufuli alikua kiongozi.
Kabisa kwenye kujali hapo jamaa ana point zake
 
Stili alijali watu wake, huyu Mama ni hapana huyu ni kama Mke wa yule Mfarume wa Ufaransa alie sababisha French revulution
 
Stili alijali watu wake, huyu Mama ni hapana huyu ni kama Mke wa yule Mfarume wa Ufaransa alie sababisha French revulution
Watakuja kukupinga wanonunua mafuta Lita moja kwa elfu tano.

Ila kwa kweli japokua sikumkubali kwa mengi kubwa ikiwa chuki kwa walompinga, Ila kwa upande wa kujali raia magufuli alikua kiongozi.
Muwe mnatoa na mapendekezo, kwa hiyo tufanyeje?
 
mapungu ndiyo mdudu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…