Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Ndo mana aliwaita watengeneza ndege chumbani pale ikulu akawa procurement wa officer wa taifa.Sio kwamba ni fisadi, huyo ni kijana Muhuni Mmoja mjanja mjanja alizoea Maisha ya ujanjaujanja sana, Sasa Kwa Uongozi wa JPM ,watu wenye matope vichwan ,midomo mirefu, walikua hawatoboi !!
JPM aliwapa shida sana sana !!.
Wewe unashangilia 10% ya ndege moja ni shilingi ngapi????