Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Mafisadi mmepata chaka lingine la propaganda.

Mbona mama yenu hajajenga hata banda la kuku anazurura tu kwa mabeberu akigawa uroda kwa Peter Greenbird sijui Greenburg!
Umeandika kwa utovu mkubwa wa nidhamu kwa niaba ya huyu ndugu niwatake radhi wanawake wote.
 
Mafisadi mmepata chaka lingine la propaganda.

Mbona mama yenu hajajenga hata banda la kuku anazurura tu kwa mabeberu akigawa uroda kwa Peter Greenbird sijui Greenburg!
Uhuru una mipaka. Tumia vizuri UHURU wako.
 
Huo ndio ukweli ndugu zangu!

Tumechelewa sana kupata baba wa kambo mwenye asili ya mabeberu!

Sasa hivi tuko kwenye honeymoon, ni mwendo wa kupishana tu angani!

Mama anaupiga mwingi.[emoji39][emoji39]
Mm nikiona mtu kaanza jadili maisha binafsi nakaa mbali.
 
Kuna kakundi kameibuka kujifanya ooo tu namkumbuka Magufuli …
Hapa kinachooneka ni kwa lile kundi lililokuwa linanufaika na uwepo wa Marehemu madarakani ambalo kwa Sasa wanaona hawana chao na hawana uhakika wa kesho yao. Hawa ndio wanaopiga kelele kutaka legacy ya Marehemu iendelee...
Safi sana, umemchambua sahihi kabisa na hata hao wafuasi wake.
 

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16)...
1.Malipo ya serikali kupitia control number.
2. Kuanzishwa wizara ya madini
3. Kuvunja jiji la Dsm
4. Kufuta kuanzishwa bandari ya Bagamoyo
5. Kuanzishwa kwa Jeshi usu
6. Ujenzi wa daraja la busisi mwanza
7. Kuhamishia makao makuu dodoma
8. Kumfukuza nape na makamba uwaziri
 

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya...
Kwa kuiba kura na kuharibu chaguzi.
 
Namkumbuka kama ni raisi ambae hajui siasa na alikuwa anatupeleka ZIMBABWE nasema hivyo kwasababu nilikuwa namfuatilia kwa ukaribu sana kama boss wangu.
 
Mama anataka kuturudisha kwenye zama za kuwatetemekea wanaoenda Ulaya. Mama kaenda Marekani anatamani tumlambe nyayo. Kila kitu Marekaniii Marekaniii

Mwaka fulani nilienda Ulaya wakati mswaki huku ni mia tano kule ni Euro tano sawa na elfu 12000 wakati huo. Sasa kulinganisha Marekani au Ulaya na Tanzania kwenye maswala ya bei (Price) bila kujali exchange rate ni kutuhadaaa na kutuona washamba
 
Kuna kakundi kameibuka kujifanya ooo tu namkumbuka Magufuli …
Hapa kinachooneka ni kwa lile kundi lililokuwa linanufaika na uwepo wa Marehemu madarakani ambalo kwa Sasa wanaona hawana chao na hawana uhakika wa kesho yao. Hawa ndio wanaopiga ...
Ahsante sana,Umetoa elimu kwa wale manazi wa Kayafa.
 
Nina mengi mabaya na mazuri ila jambo kubwa apunzike kwa Amani
 
Back
Top Bottom