Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Alikuwa mwizi snHuyu Jamaa wa kanda ya ziwa kwa jinsi alivyojenga madaraja yaliyo chini ya viwango na Bado mnataka legacy gani
Yaani watu ambao mmezaliwa Tz bila hata kwenda nje mnaweza mkaamini kuwa Legacy Ni madaraja tu.
Umeandika kwa utovu mkubwa wa nidhamu kwa niaba ya huyu ndugu niwatake radhi wanawake wote.Mafisadi mmepata chaka lingine la propaganda.
Mbona mama yenu hajajenga hata banda la kuku anazurura tu kwa mabeberu akigawa uroda kwa Peter Greenbird sijui Greenburg!
Uhuru una mipaka. Tumia vizuri UHURU wako.Mafisadi mmepata chaka lingine la propaganda.
Mbona mama yenu hajajenga hata banda la kuku anazurura tu kwa mabeberu akigawa uroda kwa Peter Greenbird sijui Greenburg!
Mm nikiona mtu kaanza jadili maisha binafsi nakaa mbali.Huo ndio ukweli ndugu zangu!
Tumechelewa sana kupata baba wa kambo mwenye asili ya mabeberu!
Sasa hivi tuko kwenye honeymoon, ni mwendo wa kupishana tu angani!
Mama anaupiga mwingi.[emoji39][emoji39]
Kama wazazi wako.Saa hii anapewa shida na wadudu huko kaburini chattle.
Safi sana, umemchambua sahihi kabisa na hata hao wafuasi wake.Kuna kakundi kameibuka kujifanya ooo tu namkumbuka Magufuli …
Hapa kinachooneka ni kwa lile kundi lililokuwa linanufaika na uwepo wa Marehemu madarakani ambalo kwa Sasa wanaona hawana chao na hawana uhakika wa kesho yao. Hawa ndio wanaopiga kelele kutaka legacy ya Marehemu iendelee...
Tunaacha vipi, kutoa vituko vya mwehu Jiwe! Ili yasijirudie!nawakumbusha tuu ni mwaka 1 na siku kadhaa zimepita toka jpm afariki
na mlivo pumbafu hamtakoma kutuletea story zake!!
1.Malipo ya serikali kupitia control number.
This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.
Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16)...
Kwa kuiba kura na kuharibu chaguzi.
This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.
Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya...
Kama wazazi wako.
Mnaendesha serkali ili kutupatia vituko vya jpm?Tunaacha vipi, kutoa vituko vya mwehu Jiwe! Ili yasijirudie!
Kwa mtoto kama wewe ni kama wafu tu.Wazazi wangu wapo.
Ahsante sana,Umetoa elimu kwa wale manazi wa Kayafa.Kuna kakundi kameibuka kujifanya ooo tu namkumbuka Magufuli …
Hapa kinachooneka ni kwa lile kundi lililokuwa linanufaika na uwepo wa Marehemu madarakani ambalo kwa Sasa wanaona hawana chao na hawana uhakika wa kesho yao. Hawa ndio wanaopiga ...