Siku moja mtamkumbuka JPM.
 
Eti "amesacrifice maisha yake" wakati alikuwa anajua kuwa anaishi kwa msaada wa Betrii aliyowekewa na Mabepari.
 
Kwa nini JPM alisema maneno hayo?
Tumwache apumzike anakostahili jamani!

Lkn ni mtu pekee aliyekuwa anawapiga vita maadui na marafiki kwa wakati mmoja!

Au niseme hivi alikuwa anampiga vita shetani na Mungu pia! Sijui alikuwaje!?
 
Polepole amekataa,nini kimenpata?
Uluona ule mtiririko wa vifo?
Hao wote walikuwa na Magonjwa kasoro Polepole.

Anyway Kifo cha Chizi kileta faraja kubwa kwenye Taifa hili.
 
Siku moja mtamkumbuka JPM.
TAKATAKA ile imekwisha kufa na ndiyo mwisho wake. Wacha misukule yake tu iliyokuwa inafaidi utawala wake ndiyo imkumbuke kama Bashiru, Polepole na Makonda
 
Wee huoni Watu wanakua Masikion Kwa Kasi ya ajabu ,na Tajiri anazidi kua Tajiri Kwa Kasi ya Ajabu???
 
Kwakweli kuna mambo ambayo daima nitamkumbuka nayo:-
1. Alikuwa mwamba akiongea wote kimya mnamsikiliza yaani alikuwa loud and clear.
2. Uthubutu na maamuzi ya papo kwa hapo.
3. Kusikiliza wananchi kwakweli hakujali hali alimsikiliza hadi mwananchi wa kawaida na viongozi walianza kuona thamani ya kila mwananchi.

Kwa haya JPM nitakukumbuka sana.

Alipoanguka kama mwanadamu ni kwenye promotion na salary increament (japo aliitoa increament ya kupunguza PAYE rates). Demokrasia na freedom of press

Anyways hatukutumwa tuzaliwe ni kiherehere chetu.

Pumzika kwa AMANI JPM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…