Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Pumzika Kwa Amani JPM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, ni raia alieitumikia nchi hii kwa muda mrefu tena kwa kujituma sana. Alikuwa waziri bora wa wakati wote, bajeti yake ya wizara haikuwa na kashfa, ilikuwa inapita tuafadhali hilo shetani limekufa lilikuwa linatuharibia nchi yetu.alijenga chuki kubwa sana miongoni mwa watanzania
Hoja yako ni nini sasa?Nenda pale taifa ama mitaani kasherekee uone kama police watawahi kukuokoa.
Kwani amekukataza nani?Nilikua napenda sana hotuba zake ambazo zilikua hazirembwi na maneno mengi ya wanasiasa bali hotuba zake zili address jambo moja kwa moja...
Ha ha haNgoja Kwanza tuzike alaf tujadiliane vizur ni nini kimemuua Raisi? Ni COVID , Heart Attack au alivyoiacha DSM karbia miez minne akakuta maadui wake wamejipanga .....[emoji124][emoji124][emoji124] Msiojulikana tusitaftane tafadhali nitawasha VPN