Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww potezea kama huna mzigo nae!Cheap popularity utaipata kwa watu masikini na wasio na elimu.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kweli mkuuMimi pia nitamkumbuka kwa mengi....msimamo wake kupinga mashoga wazi wazi jambo ambalo wapo wanaoona aibu kuwapinga hawa watu kisa tutanyimwa misaada na MABEBERU
Ww potezea kama huna mzigo nae!
So what?Khasante sana kwa jibu zuri Mkuu,sema kupitia ummati watakuwa wamejifunza kwamba Magufuri ni chuo cha uongozi HAPA Tz.
Mnastruggle kuonyesha the past ili iweje.Ww potezea kama huna mzigo nae!
Daaah! Mungu na maajabu yake, usimdhihaki mtu maana huijui kesho yako, namkumbuka kibajaji akimkejeli mamviHuyu mzee anahitaji kwenda kumzika mwanaye, tumchangie aende chato kwa chochote utakachojariwa! Ametoa number yake ya simu!
Kamuuwa nani? Weka ushahidi hapa ukishindwa kaa kimya kojoa ulale.
Kwa kuwa upo kwa ajili ya kupinga na kukosoa kila kitu endelea hivyo hivyo mimi nitamkumbuka kama raisi wangu au unataka nikukumbuke wewe?
Sawa mkuu amini hicho unachokiamini.Ulitaka mpk uone? Yeyote mwenye mamlaka kinachofanyika chin yake anatakiwa kuwajibika
Shehe wa mkoa wa Mwanza amesema waislamu watamuenzi hayati Magufuli kwa sababu ndiye aliyewezesha Bakwata kuwa na msikiti mkubwa kuliko yote Afrika ya mashariki...
Sawa mkuu amini hicho unachokiamini
Ule msikiti bila usimamizi wake usinge isha.Shehe wa mkoa wa Mwanza amesema waislamu watamuenzi hayati Magufuli kwa sababu ndiye aliyewezesha Bakwata kuwa na msikiti mkubwa kuliko yote Afrika ya mashariki...
Huo ndyo ukwel mchungu
Thibitisha kauli yako