Tarehe 21.10.2017 safari kuelekea chato mkoani geita kwenda kumuombea aliyekuwa rais wa tano dr john pombe magufuli kiongozi shupavu aliyeamua kuibadili nchi kwa miradi mikubwa ya kimkakati kwa ajiri ya taifa lake, mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amina.

mwamba alikuwa hayumbishwi na mataifa ya nje alisimamia anachokiamini na maendeleo ya kaonekana leo hii chakula bei juu vifaa vysa ujenzi bei juu kila kitu kimepanda bei na uchumi umesinyaa watu wamebaki kupiga porojo kwakuaminisha wananchi mambo ambayo hayapo .

Siku yaja tutapata mzalendo wa taifa kama mwenye kaliba ya dr john pombe magufuli.


Nawatakia jumapili njema.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
 
Mimi sio mnafiki and Always natoaga fact tupu. Huyu Mwendazake hakuna anayemkumbuka hata mmoja.

Watu wavivu wanaoishi kwa kujipendekeza mara zote ndo umlilia huyo Mwendazake.

Hivi jinsi Maisha yalivyo kwa sasahivi Fursa zinafunguka , vijana tunapambana huku na kule , Nani amkumbuke huyu Jamaa tena.

Mauaji kupiga watu risasi Nani amkumbuke Lissu antembelea Mavyuma kibao Mwili mzima

Hawa wanaomlilia huyu Jamaa hawajitambui.
 
Wewe na familia yako,ambao huenda ni kimada pendwa wa walioko huko kwenye Asali ndio maana umeshiba na kujamba ovyo..

Hizo fursa kibao unazoziona wewe,mbona vijana wengine haziwafikii?

Mbona wewe umemkumbuka?

Nani kakulazimusha kuandika, kama sio akili yako imemkumbuka?

Je! Sasa hivi hakuna mauaji?

Sasa hivi vijana hawapotei ovyo mitaani na kupotea jumla?

Polisi hawauwi watu na kudai pesa ndugu za Marehemu ili kwenda mortualy kuwaonyesha maiti?

Watu hawafungwi jela kwa kosa la kumkosoa Rais?

Mawaziri hawatumbuliwi eti kisa tu wamepiga picha na Rais wa nchi kubwa kabla ya Rais wetu?

Hizo fursa ni zipi....mfumko wa bei?

Wizi wa Makamba & Msoga team mabwana zako au?

Muwe mnajaribu kuuficha udangaji wenu!

#mtanikumbuka!
 
Mgao wa umeme kupanda bei za vitu holela, wizi wa cake ya taifa na kuyojibu matatizo ya wananchi. Haya yote umesahau?

Kama humkumbuki ni wewe na siyo wote. Ng'ombe wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…