Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Mimi sio mnafiki and Always natoaga fact tupu. Huyu Mwendazake hakuna anayemkumbuka hata mmoja.

Watu wavivu wanaoishi kwa kujipendekeza mara zote ndo umlilia huyo Mwendazake.

Hivi jinsi Maisha yalivyo kwa sasahivi Fursa zinafunguka , vijana tunapambana huku na kule , Nani amkumbuke huyu Jamaa tena.

Mauaji kupiga watu risasi Nani amkumbuke Lissu antembelea Mavyuma kibao Mwili mzima

Hawa wanaomlilia huyu Jamaa hawajitambui.
Tunamkumbuka kwa kutufilisi na kutufunga jela bila kosa lolote
 
jibu hoja acha povu wewe...
mtu aliyewapiga risasi wapinzani wake atakumbukwa na mazuzu kama wewe ? nani alimpiga risasi Tundu lisu, Akwilin?
raisi anayepora watu korosho zao akitumia jeshi letu kHayo hapowa ghiriba na uongo tumkumkumbe kwa kipi haswa? unatulazimisha kumkumbuka fedhuli?
Eti akumbukwe? alikaa miaka 5 bila kuongezea watu mishahara wala kuapndisha cheo wala madaraja tumkumbuke kwa lipi sisi wapenda haki?
mgao wa umeme haujawahi kuisha Tanzania na haupo kwa sababu samia ni raisi na january ni wazir
KAMFUFUE UZIKWE WEWE SASA, sisi tulishamalizana nae
Hayo hapo juu na mengine ya kishetani ndiyo yanatufanya tumkumbuka shwain yule
 
Mimi sio mnafiki and Always natoaga fact tupu. Huyu Mwendazake hakuna anayemkumbuka hata mmoja.

Watu wavivu wanaoishi kwa kujipendekeza mara zote ndo umlilia huyo Mwendazake.

Hivi jinsi Maisha yalivyo kwa sasahivi Fursa zinafunguka , vijana tunapambana huku na kule , Nani amkumbuke huyu Jamaa tena.

Mauaji kupiga watu risasi Nani amkumbuke Lissu antembelea Mavyuma kibao Mwili mzima

Hawa wanaomlilia huyu Jamaa hawajitambui.
Kuanzisha tu thread hii ni kumbukumbu tosha
 
Mimi sio mnafiki and Always natoaga fact tupu. Huyu Mwendazake hakuna anayemkumbuka hata mmoja.

Watu wavivu wanaoishi kwa kujipendekeza mara zote ndo umlilia huyo Mwendazake.

Hivi jinsi Maisha yalivyo kwa sasahivi Fursa zinafunguka , vijana tunapambana huku na kule , Nani amkumbuke huyu Jamaa tena.

Mauaji kupiga watu risasi Nani amkumbuke Lissu antembelea Mavyuma kibao Mwili mzima

Hawa wanaomlilia huyu Jamaa hawajitambui.
Katika_Historia%3A%0APamoja_na_kwamba_ALIZIMIA_baada_ya_kuuona_mwili_wa_mpendwa_wetu_MFUKO_hak...jpg
 
jibu hoja acha povu wewe...
mtu aliyewapiga risasi wapinzani wake atakumbukwa na mazuzu kama wewe ? nani alimpiga risasi Tundu lisu, Akwilin?
raisi anayepora watu korosho zao akitumia jeshi letu kwa ghiriba na uongo tumkumkumbe kwa kipi haswa? unatulazimisha kumkumbuka fedhuli?
Eti akumbukwe? alikaa miaka 5 bila kuongezea watu mishahara wala kuapndisha cheo wala madaraja tumkumbuke kwa lipi sisi wapenda haki?
mgao wa umeme haujawahi kuisha Tanzania na haupo kwa sababu samia ni raisi na january ni wazir
KAMFUFUE UZIKWE WEWE SASA, sisi tulishamalizana nae
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umeongea Kwa hasira sana
 
Alifanikiwa kuweka alama (nzuri/mbaya) mioyoni kwa kila mtanzania😂😂😂....


👣
 
jibu hoja acha povu wewe...
mtu aliyewapiga risasi wapinzani wake atakumbukwa na mazuzu kama wewe ? nani alimpiga risasi Tundu lisu, Akwilin?
raisi anayepora watu korosho zao akitumia jeshi letu kwa ghiriba na uongo tumkumkumbe kwa kipi haswa? unatulazimisha kumkumbuka fedhuli?
Eti akumbukwe? alikaa miaka 5 bila kuongezea watu mishahara wala kuapndisha cheo wala madaraja tumkumbuke kwa lipi sisi wapenda haki?
mgao wa umeme haujawahi kuisha Tanzania na haupo kwa sababu samia ni raisi na january ni wazir
KAMFUFUE UZIKWE WEWE SASA, sisi tulishamalizana nae
Hayo yote uliyo andika hapo maanayake unamkumbuka, labda kama unajitoa akilitu
 
kuna kukumbukwa kwa mema na mabaya. yeye anakumbukwa kwa mabaya
wajinga ndiyo walidanganywa (walijingishwa)
Iwe kwa mabaya ama kwa mazuri utamkumbukatu.
Mabaya hata wewe unayo na mazuri unayopia Jembe hakuwa Mungu.

Kusema humkumbuki ni uninga tu.
 
nitahakikisha mnaishi kama mashetani, pesa hazitakuwepo. na kweli watu waliishi kama mashetani pesa zilikimbia hata hatukujua zilienda wapi. utakosaje kumkumbuka hata kwa hilo?
 
Mimi sio mnafiki and Always natoaga fact tupu. Huyu Mwendazake hakuna anayemkumbuka hata mmoja.

Watu wavivu wanaoishi kwa kujipendekeza mara zote ndo umlilia huyo Mwendazake.

Hivi jinsi Maisha yalivyo kwa sasahivi Fursa zinafunguka , vijana tunapambana huku na kule , Nani amkumbuke huyu Jamaa tena.

Mauaji kupiga watu risasi Nani amkumbuke Lissu antembelea Mavyuma kibao Mwili mzima

Hawa wanaomlilia huyu Jamaa hawajitambui.
Wewe hapo umeshamkumbuka tayari.
 
Mimi sio mnafiki and Always natoaga fact tupu. Huyu Mwendazake hakuna anayemkumbuka hata mmoja.

Watu wavivu wanaoishi kwa kujipendekeza mara zote ndo umlilia huyo Mwendazake.

Hivi jinsi Maisha yalivyo kwa sasahivi Fursa zinafunguka , vijana tunapambana huku na kule , Nani amkumbuke huyu Jamaa tena.

Mauaji kupiga watu risasi Nani amkumbuke Lissu antembelea Mavyuma kibao Mwili mzima

Hawa wanaomlilia huyu Jamaa hawajitambui.
Tatizo la wanaume mnao liwa tigo bila ganzi ndo huwa mnaandika ujinga kama huu wewe na familia Yako mnaliwa tena tigo
 
Jamaa alikuwa kiongozi wa hovyo asiyeweza ku handle pressure, inafikia hatua unamtukana waziri wako hadharani sasa wewe ni kiongozi wa namna gani? Wanaokupinga kisiasa unawaona ni wahaini? unawatesa, unawaua, unawafilisi aisee wacha nchi ipumue !! kwa sasa ingekuwa afadhali ya Somalia.
 
Mimi sio mnafiki and Always natoaga fact tupu. Huyu Mwendazake hakuna anayemkumbuka hata mmoja.

Watu wavivu wanaoishi kwa kujipendekeza mara zote ndo umlilia huyo Mwendazake.

Hivi jinsi Maisha yalivyo kwa sasahivi Fursa zinafunguka , vijana tunapambana huku na kule , Nani amkumbuke huyu Jamaa tena.

Mauaji kupiga watu risasi Nani amkumbuke Lissu antembelea Mavyuma kibao Mwili mzima

Hawa wanaomlilia huyu Jamaa hawajitambui.
AKumbukwe kwani amekuwa MTOTO WA DANDU au SUPER DANGER? Atakumbukwa na Familia yake tu wengine ni UNAFIKI.
 
Kupitia mada hii ni tayari akili na mawazo yako vimekusanya mambo mengi ya huyo mzee tena mazuri ila umeamua kubeba mabaya ila, uzuri umemkumbuka kwa njia ya andiko hili.
 
Back
Top Bottom