jibu hoja acha povu wewe...
mtu aliyewapiga risasi wapinzani wake atakumbukwa na mazuzu kama wewe ? nani alimpiga risasi Tundu lisu, Akwilin?
raisi anayepora watu korosho zao akitumia jeshi letu kHayo hapowa ghiriba na uongo tumkumkumbe kwa kipi haswa? unatulazimisha kumkumbuka fedhuli?
Eti akumbukwe? alikaa miaka 5 bila kuongezea watu mishahara wala kuapndisha cheo wala madaraja tumkumbuke kwa lipi sisi wapenda haki?
mgao wa umeme haujawahi kuisha Tanzania na haupo kwa sababu samia ni raisi na january ni wazir
KAMFUFUE UZIKWE WEWE SASA, sisi tulishamalizana nae