Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
anachukiwa na almost 98% ya watanzania , ambao wako zaidi ya 65 milioni , hao wenye vyeti feki unaowasema hawakuzidi elfu 15
Acha takwimu uchwara kila mahali SASA hivi wanamkumbuka magufuli Kwa sababu serikali hii dhaifu imeshindwa kukontrol mfumuko wa bei,hakuna maji na umeme.yaani watanzania SASA hivi wanalia na Hali ya maisha.ni nyie Tu wenye vyeti feki ndo mmeshindwa kumsahau.
 
anachukiwa na almost 98% ya watanzania , ambao wako zaidi ya 65 milioni , hao wenye vyeti feki unaowasema hawakuzidi elfu 15
Unamchukia wewe mkuu, mimi pia ninakuchukia wewe kwa kumchukia mpendwa wangu, kwa kifupi hata fimbo unachezea nikikujua.
 
Kwangu mimi sio mwanachama wa chama chochote ila uongozi wake ufisadi wajanja janja za mjini wengi waliisha korokoroni dili nyingi ziliangukua even though alikuwa mkaksi ila haki ila haki ilikuwa inatendeka alikuwAa anaogopeka akipita wilaya Fulani anasema RC CHANGIA,DC CHANGIA NAYE ANATOA FUNGU LAKE ALIKUWA MTENDAJI MZURI WA SERIKALI SINA CHAMA AND I DON'T LIKE POLITICS BECAUSE IT'S A DIRTY GAME NAMKUMBUKA KWA HAYO TU MUNGU AMREHEMU APUMZIKE KWA AMANI
 
View attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.

Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Wanaomkumbuka wapo, mimi ni mmojawao.
 
Sasa mnapo muandika mnakumbuka nini.
Tunakumbuka huu ukatili wake uliopitiliza uliokuwa unaenda kinyume na katiba yetu👇
16409521842520.jpg
 
View attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.

Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Kula mahindi ya "KUCHOMA"
 
Kila anayemkumbuka ana lake, mwingine kwa mateso, mwingine kwa upambe na mwingine kwa kummisi kwenye tv na mwingine kwa shibe nk. Mwenye akili kubwa anatafakari na mwenye akili fupi anapambia chochote...
 
🤣🤣😅😅😅😆😆😁😁😄😄😃😃😃
 
Hawa ni watu walioshindwa kukubali kuwa JPM hatarudi tena hapa duniani, wamesononeka vya kutosha sasa wanamfufua mawazoni mwao.
Ni ukweli tulikuwa tunampenda sana ,na haya mambo yavyoendela humu nchini,ata wale waliokuw hawampendi zamani sasa wanazidi kuongezaka kumpenda.

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom