Viongozi wetu wakati mwingine wanatuharibia sana basi tuMwenda zake hafai,ndo shida ya kumpa madaraka mtu ambae amekulia kwenye shida,lazima tu awachukie watu wenye vipato,Magufuli hafai..Alilazimisha watu wote sijui washindie matembele wasitajirike.Dah
Huyu jamaa sijui alipataje Urais ! Nimeamini Uchawi upo yaan.Nakumbuka mbaazi ilikuwa lulu, gunia laki tatu, watu wakatajirika sana, akaja kipenzi Cha masikini na wanyonge, akaona arawapoteza masikini na wanyonge wake endapo watatajirika kwa bei nzuri ya mbaazi, bei ikaporomoka mpaka gunia ikawa elfu kumi na tano.
Masikini na wanyonge wakawa wanamshangilia mabarabarani kwa kuhakikisha kwamba urafiki wao na JPM unadumu.
JPM .....Laisi wa masikini na wanyonge
Daaah, Laisi !Nakumbuka mbaazi ilikuwa lulu, gunia laki tatu, watu wakatajirika sana, akaja kipenzi Cha masikini na wanyonge, akaona arawapoteza masikini na wanyonge wake endapo watatajirika kwa bei nzuri ya mbaazi, bei ikaporomoka mpaka gunia ikawa elfu kumi na tano.
Masikini na wanyonge wakawa wanamshangilia mabarabarani kwa kuhakikisha kwamba urafiki wao na JPM unadumu.
JPM .....Laisi wa masikini na wanyonge
Kwani Kasema Uongo!?Kuwa na aibu hata kidogo ndugu yangu hata kama unatafuta ugali wako wa kila siku si kwa mtindo huu.
Uongo Uongo Uongo Uongo mkubwa sana tena sana kuna vitu watanzania ni wavivu wa kutafuta habari za uhakika kazi yetu ni koma kujaza unafiki tu ki ukweli najichukia sana ninaposhindwa kutafuta ukweli Na kuishia kumaingizia mtu.Kwani Kasema Uongo!?
Rais Samia ametibu majeraha mengi sana yani,Mungu ampe umri mrefu sana huyu Mama..Sasahivi tunachakalika na maisha na tunaongea na TRA wanatuelewa vizuri tu..Tarehe 17/03/2021 Tanzania iliponywa.
Wafanyabishara mkulima waTanzania ana uza mazao kabla ya kukomaa yakisha komaa kasha maliza pesa na anakuwa hana chakeViva Samia,Rais mpenda watafutaji,siyo kujaza watu ujinga,eti wanyonge,wananchi masikini..Wakulima sasahivi tunauza mazao yetu kwa raha tu,tunafanya biashara na wanyarwanda na warundi huku kanda ya ziwa,mazao yetu yananunuliwa kwa bei kubwa tu kiasi kwamba mkulima akiuza gunia 15 tu shida zake zote zinaisha kabisa,Gunia ambalo halijakobolewa sasahivi lina 150000,ukilikoboa hela utazikimbia,mwaka jana pamba tumeuzia 2000,raha sana
Habari!
Mwaka 2014 nikiwa mfanyakazi wa Mgodi wa Bulyanhulu chini ya Barrick na baadaye kuwa chini ya acacia niliwahi kutamka jambo mbele za watu kuwa nchi hii ya Tanzania ilipaswa iwe mikononi mwa Magufuli kama RAIS ndipo ifike pazuri. Mmoja wapo akanipinga akasema Mimi natokea Chato tena nimesoma shule ya sekondari Tunduru inayomilikiwa na Magufuli. Huyo mtu namjua hafai kuwa Rais.
Mwaka 2015- 2022 nimekutana na ndugu wa damu wa Magufuli, watu aliofanya nao kazi akiwa Waziri wa wizara mbalimbali, watu aliosoma nao primary, sekondari na chuo.
Magufuli alikuwa na roho mbaya sana sana.
Nimeongea na madereva 2 waliomwendesha kabla hajawa Rais, nimekutana na kuongea naye msaidizi wake mmoja alipokuwa wizara ya Ujenzi . Nimeongea na mtu aliyelinda nyumba yake zaidi ya miaka 20.
Nimeongea na aliyekuwa mkuu wa idara fulani wizara ya Ujenzi.
Kwa ufupi yule mzee alikuwa katili na mwenye roho mbaya.
Unaweza kuniuliza hao watu nimewatoa wapi na kwanini niwahoji mambo ya Magufuli?
Ni kwamba tunakutana kwenye kazi na ndipo huanzisha stori za Magufuli hapo ndipo ninawachimba kwa viswali vidogovidogo.
Usikariri story za jiwe hizo,sisi wenyewe tunalima na tunaona,watu huku kanda ya ziwa wana mfumo wa kuhifadhi mazao yao kwenye maghala ili kusubiri bei zipande,siyo kwamba hawauzi mazao mapema,la hasha,wanauza kiasi kumaliza matatizo yaliyopo muda huo,ila mzigo mwingine wanasubiri miezi ya mwisho mwisho mwa mwaka ili wapate faida kubwaWafanyabishara mkulima waTanzania ana uza mazao kabla ya kukomaa yakisha komaa kasha maliza pesa na anakuwa hana chake
Hakuna kitu kama mimi wanafanya kazi wenzangu wanatuma pesa vijijini kwao uko wanunuliwe mazao wanaweka ndani mpaka kipindi cha ukame, mkulima wa Tanzania hana ubavu wakutunza chakula ghalani, labda mkulima wa korosho, mkulima hawezi kukaa na mazao lazima atauza kabla ya mavuno ili kupata mahitaji yake ya kila siku na huduma za shule kwa watoto wake, anaye tunza mazao ni mfanyabiashara au mfanyakazi.Usikariri story za jiwe hizo,sisi wenyewe tunalima na tunaona,watu huku kanda ya ziwa wana mfumo wa kuhifadhi mazao yao kwenye maghala ili kusubiri bei zipande,siyo kwamba hawauzi mazao mapema,la hasha,wanauza kiasi kumaliza matatizo yaliyopo muda huo,ila mzigo mwingine wanasubiri miezi ya mwisho mwisho mwa mwaka ili wapate faida kubwa
Kwa nini mkuuKuwa na aibu hata kidogo ndugu yangu hata kama unatafuta ugali wako wa kila siku si kwa mtindo huu.