Kwa imani yangu, bila shaka JPM ni mmoja wa Watakatifu waliopo huko Mbinguni. Hii ni kutokana na uongozi wake wa kuguswa sana na shida za Watanzania.
Hilo jina la katikati la ALCOHOL ndo limemzuia kwenda mbinguni,..yuko anahang kwa ozone layer 😋😋
 
Mwacheni JPM apumzishwe mahali panapo mfaa. Najua kwamba kuna watu mnajipanga kutumia jina la JPM kwa tamaa zenu, baada ya kunyang'anywa asali. Pambaneni kivyenu na siyo kutumia jina la marehemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…